Mkuu wa Mkoa Dar na Halima Mdee (MB)

Mkuu wa Mkoa Dar na Halima Mdee (MB)

Eti.... "mimi sijaja kutafuta marafiki nimekuja kufanya kazi ambayo mungu amenipangia" kiruuuu...

ananikeraga kweli...
 
wow this picture is awesome.Nimeipenda sana. Makonda anasema Kubenea ni mgeni kwenye siasa ila mgeni ni yeye hajui polical tolerance
 
Wa kujifunza ni kubenea kwani kutafuta umaarufu ni mpaka umtukane mkuu wa wilaya?
 
Enyi nyumbu mnaojaza server na hoja za kitoto, Kubenea ajifunze mipaka yake.
 
Tunasema hafai huyu mkuu wa wilaya!, asilete ubabe usio na mantiki, mwambie ajifunze kutoa kwa Magufuli, watu wanawatia hatia wala rushwa wa makonteina huku wakiwa na data tangu siku nyingi!, huyu jamaa ni visasi tu!

kubenea hajiheshimu Makonda amheshim!?
 
Audio kimsingi hujengwa na ruzuku zitokanazo na Viti .... Zifutwe uone ka mtu atapigana
 
Back
Top Bottom