Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,690
- 5,556
Hivi halima si mtoto wa kiislamu!!?
Hapana kule huwa wanajiita jina lolote lililo mbeleyao, bila kujali imani yao.
Hivi halima si mtoto wa kiislamu!!?
Tunasema hafai huyu mkuu wa wilaya!, asilete ubabe usio na mantiki, mwambie ajifunze kutoa kwa Magufuli, watu wanawatia hatia wala rushwa wa makonteina huku wakiwa na data tangu siku nyingi!, huyu jamaa ni visasi tu!
Tunasema hafai huyu mkuu wa wilaya!, asilete ubabe usio na mantiki, mwambie ajifunze kutoa kwa Magufuli, watu wanawatia hatia wala rushwa wa makonteina huku wakiwa na data tangu siku nyingi!, huyu jamaa ni visasi tu!
Wa kujifunza ni kubenea kwani kutafuta umaarufu ni mpaka umtukane mkuu wa wilaya?
Makonda jifunze hapa. Siasa sio uadui wala sio vita. Kikubwa ni kuwatumikia wananchi kila mtu kwa nafasi yake!
Mtatetea sana kubenea. Kabugi huyo, mue wakweli. Viva makonda
Tehe..tehe.. Rutta bwana..
Kwani muda mwengine usipochangia utafukuzwa kazi?
Tunasema hafai huyu mkuu wa wilaya!, asilete ubabe usio na mantiki, mwambie ajifunze kutoa kwa Magufuli, watu wanawatia hatia wala rushwa wa makonteina huku wakiwa na data tangu siku nyingi!, huyu jamaa ni visasi tu!
Hivi halima si mtoto wa kiislamu!!?
Mtatetea sana kubenea. Kabugi huyo, mue wakweli. Viva makonda
Hivi kubenea pale alienda kumwakilisha nani?? Spika au Mbowe???
Kazi ya serikali unaleta cheap politics!!!
Nilimlaumu sana JK alipomteua n bado nitaendelea kumlaumu.
Laana ya kumpiga Mzee Warioba itamuandama Makonda hadi kaburini
Tehe..tehe.. Rutta bwana..
Kwani muda mwengine usipochangia utafukuzwa kazi?