Mkuu wa Mkoa Dar na Halima Mdee (MB)

Mkuu wa Mkoa Dar na Halima Mdee (MB)

Mimi nikijana na nafanya kazi na watu walio nizidi umri sana but sijawahi koseana nao hata kama tukikwaruzana natumia hekima kumaliza mambo yaahani nazitawala hisia zangu.Pia jamani tabia ya mtu inachangiwa na vitu vingi sana mfano kurithi,makuzi na mazingira na pia kuna kitu kinaitwa ego kwenye saikolijia hivyo kila mtu ana namna anavyo weza kuhandle mambo.
 
Ila kubenea akiendelea na majazba yake hata huko bungeni sijui hana uungwana hata kidogo anaongozwa na chuki.
 
Makonda jifunze hapa. Siasa sio uadui wala sio vita. Kikubwa ni kuwatumikia wananchi kila mtu kwa nafasi yake!

Kubenea nae ajifunze kutoka kwa Halima Mdee. Upinzani sio ushari wala ugomvi!!!
 
Back
Top Bottom