mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
akikua ataachaUjana unamsumbua makonda anatafuta kick ili magufuli asimsahau.
akikua ataachaUjana unamsumbua makonda anatafuta kick ili magufuli asimsahau.
Hivi ni nani anayemdinya mh. Sauti ya Zege, mie moyo wangu umeshamdondokea.
Kubenea ni kuwadi wa lowasa
Wakujifunza ni Kubenea lazima ajue mipaka yake na ajifunze kufanya kazi na watendaji wa serikali
Mgambo amepigwa 8-0!wakuu eti yanga na mgambo wametoka ngapi ngapi?
Makonda alipokuwa akimfunga nyuzi za viatu Prince Mkwere, alikuwa anajua mipaka yake? au wa kujua mipaka ni Said tu?Wakujifunza ni Kubenea lazima ajue mipaka yake na ajifunze kufanya kazi na watendaji wa serikali
hivi ile picha iko wapi jamani ? ileteni mzizi wa fitna ukatwe .Makonda alipokuwa akimfunga nyuzi za viatu Prince Mkwere, alikuwa anajua mipaka yake? au wa kujua mipaka ni Said tu?
wakuu eti yanga na mgambo wametoka ngapi ngapi?
Laana ya kumpiga Mzee Warioba itamuandama Makonda hadi kaburini
Hivi halima si mtoto wa kiislamu!!?
Eti.... "mimi sijaja kutafuta marafiki nimekuja kufanya kazi ambayo mungu amenipangia" kiruuuu...
ananikeraga kweli...
Mtatetea sana kubenea. Kabugi huyo, mue wakweli. Viva makonda