Mkuu wa Mkoa asitisha hotuba kupisha adhana

Kwa kweli ametumia busara kubwa sana, ingawa yeye ni wa imani nyingine. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, big up RC, ingekuwa ni Bashite angeitumia hiyo opportunity ku-create mgogoro usiokuwa na ulazima.
Hakuna busara kubwa yoyote hapa. Ni maamuzi mepesi kabisa aliyochukua ukizingatia taarifa inasema alikuwa wapi na kulikuwa na kelele. Hata class monitor wa kidato cha pili akifanya hivi sishangai.
 
Allahu Akbar...muujiza huu ,,hii inaonesha dini safi na ya kweli ni ipi..we fikiria tangu nchi ipate Uhuru kitu cha hivi kimeanza Kutokea kwa uislam kwanini kisingeanza kwa makelele ya walokole??
Huu ni muujiza wa Allah na imeonyesha kabisa dini ipi ni ya haki na Muhammad ni mtume wa Mungu... Allahu akbar
 
UMETUMWA 🐩!
hata pumba uliyoandika unaonekana umeguswa so jazba na upungufu wa hekima zimeonekana, pole sana we binadamu.
wewe ni mjinga, sasa angeendelea watu wangesikiaje..? yamkini wengine wasingemsikiliza wangesikiliza hiyo adhana kumpotezea, usijudge direct kuwa ana adabu. 🔙 nini umeandika hapo!!
 
Allahu Akbar...muujiza huu ,,hii inaonesha dini safi na ya kweli ni ipi..we fikiria tangu nchi ipate Uhuru kitu cha hivi kimeanza Kutokea kwa uislam kwanini kisingeanza kwa makelele ya walokole??
Huu ni muujiza wa Allah na imeonyesha kabisa dini ipi ni ya haki na Muhammad ni mtume wa Mungu... Allahu akbar
Uzi unaanza kualibiwa hapa
Pongezi kwa wachangiaji waliopita mmeonyesha weredi wenu

Akili kisoda Bichwa kontena ashaanza kukichafua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mambo yanayotakiwa,dini bado zisitenganishe utanzania wetu,serikali haina imani ya kidini lakini imeruhusu watu wake na viongpzi wake kuwa na dini.
Ni sawa maana kuna mkuu wa mkoa huwa anahubiri kabisa kanisani na bado haimvui kuwa mkuu wa mkoa.
 
Wengi wameshangaa Rais wa Kenya kusitisha hotuba.
 
Katika hali ambayo haijazoeleka miongoni mwa jamii, leo jijini Arusha katika uzinduzi wa Kampeni za Uhamasishaji wananchi kujiunga na vifurushi vipya vya Bima ya Afya, Mkuu wa Mkoa huo alisitisha hotuba kwa dakika kadhaa ili kupisha Adhana iliyokuwa ikisikika kutoka jirani na eneo la uzinduzi.

Hali hiyo haikuleta taharuki ila baadhi ya wananchi waliokuwepo uwanjani hapo waliuliza nini maana yake, pamoja na adhana kuwepo kila siku sehemu mbalimbali ila haijapata kutokea kiongozi ambaye ni mgeni rasmi kusitisha kwa muda hotuba ili sheikh anayeazini amalize.

Wataalam wa itifaki mnaweza kutiririka hapa chini, hii inakuwaje?

=====
Upo vizuri sana
 
Back
Top Bottom