Mkuu wa Majeshi (CDF) anampigia salute Mbunge?

Maiti haipigiwi saluti inayo pigiwa salut Ni ile bendera juu ya jeneza na anae wekewa bendera juu ya jeneza lake nafikir ni askri wa cheo chochote wa majeshi ya ulinzi pamoja na viongozi wakubwa wa kisiasa
Ktk protocol za kupigiwa salute marehemu anachukuliwa kuwa ni (mkubwa)mheshimiwa kuliko watu wote waliohai haijalishi alikuwa na wadhifa au cheo gani alipokuwa hai ndomaana utaona kwenye kuaga maiti CDF anaweza akampigia salute marehemu ambaye alikuwa ni askari mwenye rank ya private wakati wa uhai wake,au alikuwa raia wa kawaida tu.
 
Ktk protocol za kupigiwa salute marehemu anachukuliwa kuwa ni (mkubwa)mheshimiwa kuliko watu wote waliohai haijalishi alikuwa na wadhifa au cheo gani alipokuwa hai ndomaana utaona kwenye kuaga maiti CDF anaweza akampigia salute marehemu ambaye alikuwa ni askari mwenye rank ya private wakati wa uhai wake,au alikuwa raia wa kawaida tu.
Wapi aliwahi kupigia salute jeneza la raia wa kawaida?
 
CDF hapigi saluti kwa Mbunge.....
CDF anapiga saluti kwa viongozi wa serikali...akiwemo DC,RC,Mawaziri na wateuliwa wengine wa rais kwenye utumishi wa umma sababu wale wanamwakilisha Rais au madaraka ya Rais kwenye wilaya na mikoa yao.....
Na sababu CDF na jeshi ni watiifu kwa serikali ndo mana waanguka saluti kwa wakuu wa mikoa na wilaya..

Wateule wa serikali haijumuishi wakuu wa mashirika,ma ded,Das,Ras, etc.......hawa hawapigiwi saluti since hawana collective leadership kama mkoa au wilaya.

Kuhusu maiti kupigiwa saluti ni salamu ya kijeshi kwa watu waliokua kwenye adhi ya u-amiri jeshi au makamanda etc.

Mbunge anaweza pigiwa tu saluti kama ni waziri wa wizara flani ya serikali.

Dr Hussein mwinyi alipigiwa sana alipokua ulinzi, kigwangwala utalii akifunga mafunzo ya tanapa na mawaziri wengine wa serikali maana nao wanamuwakilisha Rais so wanapigiwa saluti kwa heshima ya Rais.
Wewe nae acha uongo
 
Maiti haipigiwi saluti inayo pigiwa salut Ni ile bendera juu ya jeneza na anae wekewa bendera juu ya jeneza lake nafikir ni askri wa cheo chochote wa majeshi ya ulinzi pamoja na viongozi wakubwa wa kisiasa
Acha kupotosha watu. Maiti yoyote inapigiwa salute,sio issue ya bendera.
 
Ahhh sabaya anapigiwa saluti na CDF,?
Kwa picha hizi..basi sabaya nae anapigiwa.
images.jpg
images (1).jpg
 
Askar yeyot anapiga salute kwa kiongozi aliyeteuliwa na Rais only....sasa utaangalia mwenyew katika nchi yetu viongoz gani wanapigiwa salut na wajeda..

Mfano hai huapa kwenye picha
images%20(9).jpg
 
Kijeshi marehemu ndio mtu anayeheshimiwa kuliko mtu yeyote. Awe mkuu wa majeshi au yeyote katika jeshi atatakiwa kusalute mbele ya marehemu. Haijalishi marehemu alikuwa mwananjeshi au raia wa kawaida wote watasalute wakati wa kutoa heshima za mwisho.
Na wanajeshi wanalizingatia hili mahala popote pale,wakati wote, Pitia hii video kuna tukio

  • Kulikuwa na mvua
  • Ni barabarani kwenye trafic light
  • Ila kwa heshima askari hakujari uwepo wa mvua bali alishuka kwenye gari na kutoa heshima zake
 
Back
Top Bottom