Nikuulize swali kibogo; wewe unasikitika kwa huyo kiongozi wa waasi kuuliwa au la?Mnachonishangaza Watanzania ni pale mnapochanganya mambo Kule Daful Baada ya kuuawa wale wanajeshi wetu mlisema wanajeshi wanaolinda amani huwa hawaruhusiwi kuwa na Siraha sasa leo mnashabikia kuwa JWTZ ndo waliofanya juhudi hadi kuuawa huyo kiongozi wa M23 je walitumia fimbo, mawe au virungu? maana walinda amani hawatakiwi kuwa na Siraha.
Waganda wanajidai hawawaungi mkono hao waasi. Kama hawawaungi mkono kwa nini hawakutangaza na kumweka chini ya ulinzi huyo kiongozi wa waasi alipoingizwa uganda akiwa majeruhi?Habari nilizozipata sasa hv ni kwamba Mkuu wa M 23 alijeruhiwa vibaya katika mapambano ya juzi yaliyoendeshwa na serikali ya Congo juzi, na baada ya kujeruhiwa akakimbizwa Uganda, Kampala kwa ajili ya matibabu ambako amefia huko.Ushindi unakaribia.Bravo kwa wapenda amani wote.
soma ndani ya huu uzi watu wameeleza vizuri.
Wa Tz ni watu waajabu sana! Si mlisema wanajeshi wa tz hawaendi kupigana bali kulinda amani!
Bloody thirst dictator at cross road now......!
Mbona hayo mapambano yalikua kati ya M 23 na majeshi ya Congo? JWTZ inaingiaje hapo?
Hata Wakati wa kumtoa Mobutu, JWTZ haikutangazwa lakin kwenye kuaga Mwil wa Mwl Nyerere ndo Museven akafichua siri tarehe 23th October,1999 Kijijini Mwitongo Butiama wakat wa kumuaga Mwl, wakat wa kumtwanga Mreno JWTZ haikutangazwa ilikuwa inatangazwa Frelimo against Portugues, hata leo usishangai kusikia JWTZ HAITANGAZWI, ILA "MAN AT WORK".
Hata Wakati wa kumtoa Mobutu, JWTZ haikutangazwa lakin kwenye kuaga Mwil wa Mwl Nyerere ndo Museven akafichua siri tarehe 23th October,1999 Kijijini Mwitongo Butiama wakat wa kumuaga Mwl, wakat wa kumtwanga Mreno JWTZ haikutangazwa ilikuwa inatangazwa Frelimo against Portugues, hata leo usishangai kusikia JWTZ HAITANGAZWI, ILA "MAN AT WORK".
Kagame nadhan anausoma Mchezo wa JWTZ, M23 lazma waombe POO, kimya cha Tanzania hakimaanishi Uoga au Unyonge bali ni busara na Subira tulizojaaliwa na Mola wetu, Mama Joyce Banda kama kachoka kiti chake nae asogeze Mgambo wake mpakani! Ukitaka kujua shughuli ya Jwtz muulize Mreno wakati wa Mapambano ya Frelimo Msumbiji!
Matibabu wanapata Uganda, Museveni akiaambiwa anawasaidia anakuja juu. Tanzania sijui bado inafanya nini EAC.Habari nilizozipata sasa hv ni kwamba Mkuu wa M 23 alijeruhiwa vibaya katika mapambano ya juzi yaliyoendeshwa na serikali ya Congo juzi, na baada ya kujeruhiwa akakimbizwa Uganda, Kampala kwa ajili ya matibabu ambako amefia huko.Ushindi unakaribia.Bravo kwa wapenda amani wote.
Unajua huwa wana macomf ya kipuuzi sana. Wana complex ya kujiona na dharau kwa yeyote asiyekua wa mbari yao. Tabia hiyo hua inawadhuru lakini hawaoni. Miaka mingi wameleta shida nyingi eneo la maziwa makuu kwa kugombea kuongoza dola kwa maslahi yao binafsi. Ni vema wasalimu amri na kukubali usawa na haki kwa wote na sio wachache kutaka kuhodhi dola.Boss wa kisiasa wa M23 Bertrand Bisimwa alimwandikia JK barua ya kumtisha, eti;
"...we have consistently prevailed over much larger and better equipped forces. The same will happen to the Intervention Brigade if your [JK] wisdom does not prevail to intervene and stop this dangerous adventure in its tracks. For this reason the M23 invites the parliament and the people of Tanzania to carefully reconsider this situation and prevail upon the Tanzanian Government… not to send the sons and daughters of this noble nation to engage in an absurd war against their Congolese brothers."
Naona sasa majibu ameanza kuyapata. Na huyo aliyesema 'I will hit you' majibu yake yako 'posta'.
kwanini akatibiwe uganda?Ina maana Museveni Naye ni adui yetu tena?
UN walikuepo hapo siku nyingi na mchezo ukawa kama paka na panya huku waasi wakisaidiwa na rwanda na uganda wakitamba. Inshallah kwa msaada wa sadc ndugu zetu wa congo wataweza kuwatimua mamluki wanaopokea amri kutoka kigali.Mapigano yanayoendelea sasa Mashariki ya Kongo hasa Muja na Goma ni kati ya Majeshi ya Kongo na Waasi M23. UN Brigade chini ya Majeshi kutoka TZ, Malawi na South Africa wapo kulinda raia. Kwa ufasihi zaidi kwa mapigano yaliyanza last monday wao wapo kama watazamaji tu na kulinda raia. Sijui kwa nini wachangiaji wa JF wanahusisha kifo cha Col.Sultan Makenga na majeshi ya TZ, na sio majeshi ya Malawi or South Africa?? Nahisi inawezekana wengi wetu hatuelewi kinachoendelea DRC or tunafanya makusudi kupiga propaganda kwamba JWTZ ndio chagizo la kuanguka kwa M23...kitu ambacho sio kweli.
Labda anavuta sana bangi.Huyu jamaa seems mwathirika wa HIV AIDS
Habari nilizozipata sasa hv ni kwamba Mkuu wa M 23 alijeruhiwa vibaya katika mapambano ya juzi yaliyoendeshwa na serikali ya Congo juzi, na baada ya kujeruhiwa akakimbizwa Uganda, Kampala kwa ajili ya matibabu ambako amefia huko.Ushindi unakaribia.Bravo kwa wapenda amani wote.