PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Ukiona mtu anahoji vitu vya namna hii ujue huyo mtu ana mojawapo kati ya matatizo yafuatayo:
-Ana mgogoro wa kiutumishi na mwajiri.
-Ana inferiority complex ambayo inamla sana moyoni.
-Ana dharau ya asili ambapo akili zake zinamtuma kubeza kila kitu.
-Ni jamii ya maMachinoo wa maofisini ambao Utawala anajua, Uhasibu anaelewa yeye, Uzalishaji na operational duties anajua yeye.
Watu wa calibre hii hata efficiency yao kazini ni Poor na ni walalamishi.
Aidha watu wa jinsi hii ni propergators wa Grapevine na wazalishaji wa fitna sehemu za kazi.
-Ana mgogoro wa kiutumishi na mwajiri.
-Ana inferiority complex ambayo inamla sana moyoni.
-Ana dharau ya asili ambapo akili zake zinamtuma kubeza kila kitu.
-Ni jamii ya maMachinoo wa maofisini ambao Utawala anajua, Uhasibu anaelewa yeye, Uzalishaji na operational duties anajua yeye.
Watu wa calibre hii hata efficiency yao kazini ni Poor na ni walalamishi.
Aidha watu wa jinsi hii ni propergators wa Grapevine na wazalishaji wa fitna sehemu za kazi.