Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Hilo neno "elimu" limetokea hukohuko.
Nyie wasomi wetu mlio hodhi madaraka na uongozi kwa asilimia 83 kwa zetu 17 katika nyanja zote kwa miaka yote hii mmefanya nini?
Nakuhakikishia hao 17 ni bora zaidi ki elimu kwani hawaja-bebwa na mtu. Kama unabisha tazama utendaji mbovu na madudu yanatokea wapi utakuta ni hukohuko kwenye 83.
rais - muislamu
makamu wa rais - muislamu
rais wa zanzibar - muislam
makamu wake wa kwanza - muislam
makamu wake wa pili - muislamu
waziri mkuu mkristu
sasa sijui which is which
Unataka tanzania tuanze kusema haya?? "kama sio hawa waislamu, tungekua mbali sana......."
we kaa kimya faidi hizo bakshishi za kupiga scrub na kubeba begi la dark child
mengine acha kabisa kwenye dini huna hoja
wakati watu wansoma uchumi (na wewe ulisoma uchumi) wengine walikua bize na alif laam miim) haiwezekani kutegemea mahindi kwenye mizeytuni