nyie wazir wa mambo ya ndani kwa kuwanyima wale masalia viza !ngaja na sie wasabato tulalamike shukuru kawambwa asimamishwe kazi....
nyie wazir wa mambo ya ndani kwa kuwanyima wale masalia viza !
Mbona hiyo habari hata ITV wameitangaza kwenye taarifa yao ya habari ya saa mbili usiku? Huyo dada kachelewa kukutonya.
bwana weh... ndio hao wanaosikia kwenye vijiwe na kuleta kama breaking nyuuzMbona hiyo habari hata ITV wameitangaza kwenye taarifa yao ya habari ya saa mbili usiku? Huyo dada kachelewa kukutonya.