Mkuu MziziMkavu Akiwajibika....!!!!

Mkuu MziziMkavu Akiwajibika....!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,130
mkavu.jpg
Mkuu MziziMkavu akitoa kitu cha kande moja matata sana!
 
Last edited by a moderator:
Enzi za 2000 Kigonsera Sec.School hiyo a.k.a CAIGO,pamoja ndugu zangu.
 
Ndo chakula nilikuwa napenda wakati nipo shule yani nachanganya na blue band,butter,sukari,parachichi na ndizi ndo nakula
 
Nakumbuka ratiba ya kande shuleni kwetu ilkuwa ijumaa
 
Ukiweka vipodozi:-sukari,blueb band,cocoa harufu yote inaisha....ng'ande my favorite food...
 
Ndo chakula nilikuwa napenda wakati nipo shule yani nachanganya na blue band,butter,sukari,parachichi na ndizi ndo nakula

Nilikua naweka urafiki na watu kama nyie ili nami nijihakikishie mambo mazuri. Umesahau nido hapo!
 
Back
Top Bottom