Mkuu MziziMkavu Akiwajibika....!!!!

Mkuu MziziMkavu Akiwajibika....!!!!

Aisee makande huwa sishibi hata sielewi, ktk vyakula vyote makande nimeshindwa.
 
Kande zinapunguza sana kuzalishwa kwa vichocheo vya ngono mashuleni. Ndio maana kwa shule za bweni hio ni menu ya kawaida sana
 
kuna jirani yangu wakati nakaa tanga alikua hajui jina la makande na alikua anazipika mara nyingi...kumbe wao wanajua kwa jina la mapure
 
daaaah.........umenikumbusha mpishi wetu special!!!!

ila mpaka leo sipendi tena hizo kande!!!
 
Back
Top Bottom