kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
mahindi na maharagwe....Kumbe hiyo ndio kande?
Ni mchanganyiko wa nini?
mahindi na maharagwe....Kumbe hiyo ndio kande?
Ni mchanganyiko wa nini?
Unaishi wapi...!?
Ndo chakula nilikuwa napenda wakati nipo shule yani nachanganya na blue band,butter,sukari,parachichi na ndizi ndo nakula
Weeee kijana mbona unaniamsha usiku wote huu kwa kutaja kwako Caigo. Enzi zetu miaka ya 80 hakukuwa na hiyo kitu. Sana sana mihogo pale gezaEnzi za 2000 Kigonsera Sec.School hiyo a.k.a CAIGO,pamoja ndugu zangu.
mkuu hiyo ndo ilikuwa style yanguhii lazima itakuwa boding skul dah kande lilale afu asubui ulishushie na uji dah wee acha tu
Nasikia hiyo makitu ilikuwa inawekwa kupunguza mihemuko ya ngono ili tuweze kupiga shule vizuri, sijui ni kweli? Ngoja waje wajuaji......!Vitu kama hivi shuleni vilikuwa havikosi mafuta ya taa kwa mabali....!!!