Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,573
Siasa...Yeye aliomba Manispaa na Manispaa walimruhusu ajenge ila lisiwe ni jengo la kudumu. Alitumia vyuma na aluminium.
Jambo lenyewe limekuzwa sana bila ya sababu ya msingi.
Siku hizi kutiana hasara na umaskini ni sifa