PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
Naomba kunukuu kama ipitavyo chini ya luninga yangu.
Tunapenda kuwatangazia wapenzi watazamaji wetu kwamba, ifikapo saa kumi leo jioni itawaletea matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa kampeni wa chama cha CHADEMA, utakaofanyika kwenye viwanja vya Rwandanzovwe mjini Mbeya na kuhutubiwa na mgombea urais wa CHADEMA Mh. Edward Lowassa pamoja na viongozi wengine wa UKAWA.
Mwisho wa kunukuu, karibini sana wafahamishe na wengine.
Tunapenda kuwatangazia wapenzi watazamaji wetu kwamba, ifikapo saa kumi leo jioni itawaletea matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa kampeni wa chama cha CHADEMA, utakaofanyika kwenye viwanja vya Rwandanzovwe mjini Mbeya na kuhutubiwa na mgombea urais wa CHADEMA Mh. Edward Lowassa pamoja na viongozi wengine wa UKAWA.
Mwisho wa kunukuu, karibini sana wafahamishe na wengine.