Mkutano wa UKAWA Mbeya kurushwa live ITV

Mkutano wa UKAWA Mbeya kurushwa live ITV

Status
Not open for further replies.
Umeme huku ars walouzima saa tisa sababu ni zile zile,sera za rais eduward tusifuatilie kwa karibu,ila wajue tu ya kwamba tumwone au tusimwone,tumsikie ama tusimsikie,
mabadiliko ya kuizika ccm hapo okt,25;2015 ni hakika,
na lowassa ndiye rais wetu wa tano wa jmt.fulu stopu!
naomba kunukuu kama ipitavyo chini ya luninga yangu.

Tunapenda kuwatangazia wapenzi watazamaji wetu kwamba, ifikapo saa kumi leo jioni itawaletea matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa kampeni wa chama cha chadema, utakaofanyika kwenye viwanja vya rwandanzovwe mjini mbeya na kuhutubiwa na mgombea urais wa chadema mh. Edward lowassa pamoja na viongozi wengine wa ukawa.

Mwisho wa kunukuu, karibini sana wafahamishe na wengine.
 
ITV picha na saiti ni mbaya ajabu....star tv picha nzur na saut...wajirekebushe itv
 
TCRA wakiulizwa watakuambia frequency imeingiliana! UKAWA kuweni makin na hujuma hzi za waziwazi
 
Jana mic zilikua mbovu leo mitambo ya ITV mibovu....na sanaa ziendelee..
 
Itv si bora mngetumia simple technology ya avaya XT5000 with bluejeans platform watu tungepata live ya clear pictures.
 
Mgombea wa UKAWA haendi kwenye mdahalo wa wazi kwa wagombea urais JMT? Leo 18.10.2015 kwenye MkikiMkiki ni mdahalo wnaotaka urais. CDM mmekimbia mdahalo?? Mmeshindwa kujenga kwa nini mnataka mkabidhiwe nchi? Mtatekelezaje ahadi zenu. Tangu Dr Slaa aondoke,CDM wamebaki kwenye siasa za majukwaani,hawaulizwi wala hawataki maswali. Ukiuliza,wanakwambia umetumwa,buku 7,na matusi kibao. CDM maslahi acheni uhuni

Acha kutokwa povu bure. Magufuli kaenda?
 
Mike mbovu, kamera mbovu, spika mbovu, hawa ndo wamachame, lowasa atawajua tu mwaka huu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom