MALI YA BABA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 459
- 119
Asanteni sana UKAWA na ITV ila msitufanyie kama mlivyofanya Arusha...
Wana UKAWA tunangoja.Naomba kunukuu kama ipitavyo chini ya luninga yangu.
Tunapenda kuwatangazia wapenzi watazamaji wetu kwamba, ifikapo saa kumi leo jioni itawaletea matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa kampeni wa chama cha CHADEMA, utakaofanyika kwenye viwanja vya Rwandanzovwe mjini Mbeya na kuhutubiwa na mgombea urais wa CHADEMA Mh. Edward Lowassa pamoja na viongozi wengine wa UKAWA.
Mwisho wa kunukuu, karibini sana wafahamishe na wengine.
Mambo ya ccm yamekushinda ya UKAWA na Lowassa rais wetu utayaweza. Fwata yenu!!Huu ni wa Tunduma au...Mwenyekiti si alisema leo asubuhi?
Huu ni wa Tunduma au...Mwenyekiti si alisema leo asubuhi?
mdahalo huu ulioandaliwa na Twaweza? Nani atahangaika na hao mamluki ?Mgombea wa UKAWA haendi kwenye mdahalo wa wazi kwa wagombea urais JMT? Leo 18.10.2015 kwenye MkikiMkiki ni mdahalo wnaotaka urais. CDM mmekimbia mdahalo?? Mmeshindwa kujenga kwa nini mnataka mkabidhiwe nchi? Mtatekelezaje ahadi zenu. Tangu Dr Slaa aondoke,CDM wamebaki kwenye siasa za majukwaani,hawaulizwi wala hawataki maswali. Ukiuliza,wanakwambia umetumwa,buku 7,na matusi kibao. CDM maslahi acheni uhuni
Naomba kunukuu kama ipitavyo chini ya luninga yangu.
Tunapenda kuwatangazia wapenzi watazamaji wetu kwamba, ifikapo saa kumi leo jioni itawaletea matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa kampeni wa chama cha CHADEMA, utakaofanyika kwenye viwanja vya Rwandanzovwe mjini Mbeya na kuhutubiwa na mgombea urais wa CHADEMA Mh. Edward Lowassa pamoja na viongozi wengine wa UKAWA.
Mwisho wa kunukuu, karibini sana wafahamishe na wengine.
Naomba kunukuu kama ipitavyo chini ya luninga yangu.
Tunapenda kuwatangazia wapenzi watazamaji wetu kwamba, ifikapo saa kumi leo jioni itawaletea matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa kampeni wa chama cha CHADEMA, utakaofanyika kwenye viwanja vya Rwandanzovwe mjini Mbeya na kuhutubiwa na mgombea urais wa CHADEMA Mh. Edward Lowassa pamoja na viongozi wengine wa UKAWA.
Mwisho wa kunukuu, karibini sana wafahamishe na wengine.
mna nunua aitime ya saa mbili halafu edward anaongea dk 6 zilizobaki ni yule mzee wa ndembendembe mara kifo cha mende sijui nini nil
Tulia unyolewe wewe mbona haya hayakuhusu?
VIVA UKAWA!!!!
Mgombea wa UKAWA haendi kwenye mdahalo wa wazi kwa wagombea urais JMT? Leo 18.10.2015 kwenye MkikiMkiki ni mdahalo wnaotaka urais. CDM mmekimbia mdahalo?? Mmeshindwa kujenga kwa nini mnataka mkabidhiwe nchi? Mtatekelezaje ahadi zenu. Tangu Dr Slaa aondoke,CDM wamebaki kwenye siasa za majukwaani,hawaulizwi wala hawataki maswali. Ukiuliza,wanakwambia umetumwa,buku 7,na matusi kibao. CDM maslahi acheni uhuni
Luwasa anagombea ubunge au urais?
Mgombea wa UKAWA haendi kwenye mdahalo wa wazi kwa wagombea urais JMT? Leo 18.10.2015 kwenye MkikiMkiki ni mdahalo wnaotaka urais. CDM mmekimbia mdahalo?? Mmeshindwa kujenga kwa nini mnataka mkabidhiwe nchi? Mtatekelezaje ahadi zenu. Tangu Dr Slaa aondoke,CDM wamebaki kwenye siasa za majukwaani,hawaulizwi wala hawataki maswali. Ukiuliza,wanakwambia umetumwa,buku 7,na matusi kibao. CDM maslahi acheni uhuni
Mkuu bato, mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa... Ni mtanganyika mzalendo. UKAWA tangu mwanzo walijibu 'kiume' kuwa kutokana na ratiba ya kampeni, mgombea wao hatashiriki. Ni jambo la kusifiwa kuwa wamesimamia msimamo huo. Ccm kama walivyozoea kudanganya umma, walidanganya kuwa watashiriki! Ajabu leo baada ya saa sita mchana wamegeuka kuwa hawatashiriki tena! Asante, uwe na siku njema mkuu.