Mkutano wa UKAWA Mbeya kurushwa live ITV

Mkutano wa UKAWA Mbeya kurushwa live ITV

Status
Not open for further replies.
Hivi ITV ,hawanaga live streaming?maana nina GB za kutosha na sina access na Television
 
kuanzia saa ngapi mbona itv hakuna suala hilo?
 
Kama kawaida Yao yule mtoto wao wa tanesco anaechezea umeme ameshakata tayari hapa boko sijui kama nitamuona raisi mtarajiwa
 
itv itakuwa live kutoka mbeya kuanzia saa kumi na mbili kasorobo,,,,,,karibuni sana
 
Naona wamerudisha umeme...hakunajinsi ccm vumilieni sindano dawa iingie....!!!
 
Naomba kunukuu kama ipitavyo chini ya luninga yangu.

Tunapenda kuwatangazia wapenzi watazamaji wetu kwamba, ifikapo saa kumi leo jioni itawaletea matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa kampeni wa chama cha CHADEMA, utakaofanyika kwenye viwanja vya Rwandanzovwe mjini Mbeya na kuhutubiwa na mgombea urais wa CHADEMA Mh. Edward Lowassa pamoja na viongozi wengine wa UKAWA.

Mwisho wa kunukuu, karibini sana wafahamishe na wengine.

tukubaliane sote Magufuli ndiye Rais sasa tuaze kazi za maendeleo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom