combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
nipo kwenye mkutano wa ufunguzi wa ubunge katika jimbo la Gairo morogoro mkutano adi sasa haujulikani utafanyikia wapi baada mkufukuzwa uwanjani ambako ulikuwa ufanyike mkutano.lkn uwanja huohuo jana ccm walifanyia mkutano wa ufunguzi.
chadema wajipange kabla ya kufanya mambo yao.
chadema wajipange kabla ya kufanya mambo yao.