Mkutano wa UKAWA Gairo waingia dosari...

Mkutano wa UKAWA Gairo waingia dosari...

bahati mbaya nipo mbali, ningekuwa hapo karibu ninge deal na anayefukuza watu hapo.

i.e angekuta nyumba yake imetapakaa kinyesi kuta zote wakati tunapanga hatua kali zaidi kiutekelezaji.

Ashakumu....... Unatita tani ngapi mkuu za kutosha kupaka kuta zote za nyumba?
 
nipo kwenye mkutano wa ufunguzi wa ubunge katika jimbo la Gairo morogoro mkutano adi sasa haujulikani utafanyikia wapi baada mkufukuzwa uwanjani ambako ulikuwa ufanyike mkutano.lkn uwanja huohuo jana ccm walifanyia mkutano wa ufunguzi.
chadema wajipange kabla ya kufanya mambo yao.
Karibu kwenye TEAM MAGUFULI

UKAWA mnapenda sana kukurupuka halafu mnaanza kulaumu. Jifunzeni kwaza uongozi wa chama chenu. Urais bado sana nyie.
 
Back
Top Bottom