Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Kuna mdau amenihabarisha kuwa Slaa amemaliza kuhutubia na askari wa FFU wanalipua mabomu ya machozi all the way toka maeneo ya CCM kuelekea Mwanjelwa
MY TAKE
Unabii wa Slaa naona ndo unakamilika bse aliwahi sema CCM ndo wataleta fujo b'se wao ndo wenye dola na kutoa amri
MY TAKE
Unabii wa Slaa naona ndo unakamilika bse aliwahi sema CCM ndo wataleta fujo b'se wao ndo wenye dola na kutoa amri