Elections 2010 Mkutano Wa Hadhara Wa Wana-JF [Online]

Thats correct!
Wasipotekeleza ndio sababu ya kuwaambia wananchi wasiwachague tena.Utaratibu wa sasa usiokuwa na M& E ndio unafanya watu kudanganywa tu bila kuwa na point of reference. Mtu anakuja na khanga na t-shirt na ahadi mpya outrageous..anazingua watu na kujipatia kura kiulani.

Sawa nimekusoma. Sasa hili nalo ni vema likaingia katika katiba ili lisije likachakachuliwa kama la mgombea binafasi.

So mpaka sasa agenda ambayo wengi wameipendekeza ni ya "Kuunda Katiba Mpya"

Sawa.

Sasa tuendelee . . .

Ama mmechoka tumwambia binti Machozi atumbize kidogo bila kuchakachua caham chochote?
 
Sawa nimekusoma. Sasa hili nalo ni vema likaingia katika katiba ili lisije likachakachuliwa kama la mgombea binafasi.

So mpaka sasa agenda ambayo wengi wameipendekeza ni ya "Kuunda Katiba Mpya"

Sawa.

Sasa tuendelee . . .

Ama mmechoka tumwambia binti Machozi atumbize kidogo bila kuchakachua caham chochote?

Bado tunasubiri
 
Nimesimama na mie ninaomba chama kitakochopata ridhaa ya wananchi kuongoza wiki ya kwanza kitoe adhabu kali kwa mafisadi waliohujumu nchi yetu bila kuangalia ana cheo gani wakati huu ili liwe fundisho kwa wote waliotafuta Urais, Ubunge na udiwani ili wawe mafisadi.haingii kichwani mwangu watu wanatumia mapesa mengi ili kutafuta uongozi ina maana kuna biashara gani huko. nikomee hapo kwa sasa ili nitoe nafasi na kwa wengine asante sana.
 
Nimesimama na mie ninaomba chama kitakochopata ridhaa ya wananchi kuongoza wiki ya kwanza kitoe adhabu kali kwa mafisadi waliohujumu nchi yetu bila kuangalia ana cheo gani wakati huu ili liwe fundisho kwa wote waliotafuta Urais, Ubunge na udiwani ili wawe mafisadi.haingii kichwani mwangu watu wanatumia mapesa mengi ili kutafuta uongozi ina maana kuna biashara gani huko. nikomee hapo kwa sasa ili nitoe nafasi na kwa wengine asante sana.

Nimekupata. Kwa hiyo unachosema ni kuwa:

"Kuundwe Mahakama Maalumu ya Kushughulikia Kesi za Mafisadi na Wahujumu Uchumi"

Ni sawa Jungu Mawe? Au iweke vizuri zaidi.
 
Kwa kweli rasilimali na uchumi wetu ni muhimu mkuu. Mi naona mgombea ambaye anaweza kushughulikia hayo mambo amepata vote yangu. Alafu lazima wale wafisadi waliotunyima chance ya kufaidika kutokana na hizo mambo wakamatwe so that nchi iendelee kwa kweli.
 
nimekupata. Kwa hiyo unachosema ni kuwa:

"kuundwe mahakama maalumu ya kushughulikia kesi za mafisadi na wahujumu uchumi"

ni sawa jungu mawe? Au iweke vizuri zaidi.
naona nikuite mwenyekiti, ni sawa kabisa, nina uchungu sana na hawa mafisadi,la sivyo nitajichukulia hatua mkononi ya kuwachoma bisibisi za kichwani kama hawataadhibiwa
 
Mie yakhe napendekeza katika uundaji wa katiba mpya kuwe na kifungu cha sheria kinachomlazimisha yeyote ataekabithiwa madaraka ya usimamizi wa rasilimali za nchi, kula kiapo cha ikiwa atahujumu uchumi wa nchi na ikathibitika kisheria, basi akubali kwamba atanyongwa hadharani. Hii itapunguza msongamano wa watu wanaotafuta madaraka kwa gharama isiyomithilika. Kuna mifano iliyo hai wapo wanaoitafuta ofisi kwa kuteketeza bil 50. M/KITI NASISITIZA TENA LAZIMA WATU HAWA WALE KIAPO HIKI CHA KUNYONGWA HADHARANI IKIWA........
 
M/kiti, pointi ovu interapusheni! nilipitwa..
1. Tunahitaji viongozi waadilifu (credible) na wawajibikaji (accountable) wawe mfano kwa taifa la leo na vizazi vijavyo.
2. Tunahitaji kuandika katiba mpya kabisaa!
 
Naungana na wadau hapo juu Mwenyekiti, tunahitaji Katiba na Kiongozi atakayerudisha nchi na watu wake kwenye mstari! Mambo mengine yatajipa tu!
 
Tunahitaji mtu atakayefuata rule of law, utawala bora, atakayeimarisha Muungano kwa kuirudisha Tanganyika na cha msingi zaidi tuwe na katiba mpya.
 
Kuna mahali nilisoma Slaa akipata ridhaaa ataweka katiba mpya ndani ya miaka michache ya uongozi wake! Jamani hebu nipeni info zaidi .....jirani zetu imewachukua zaidi ya miaka ishirinini (Kenya) hadi walipoiwekea sahihi juzi....
 
Order, Order, Order Pleaaasssseeee . . . .

Wana JF, nilikuwa nimeenda kufungulia, baada yakuona wengine walianza kuleta lugha isiyo ya kistaarabu . . .

Sasa tunaendelea . . .

Aiseee, nilifikia wapi vile . . . .
 
Kwa kweli rasilimali na uchumi wetu ni muhimu mkuu. Mi naona mgombea ambaye anaweza kushughulikia hayo mambo amepata vote yangu. Alafu lazima wale wafisadi waliotunyima chance ya kufaidika kutokana na hizo mambo wakamatwe so that nchi iendelee kwa kweli.

Sawa Profesy, nimekusoma vizuri. hayo yote tutayaweka katikaa maazimio yetu . . .
 
Back
Top Bottom