ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Kitendo cha JF kuunganisha thread hizi ni hostility.
Mwajiri wako anadhalilika huko Kigoma.
Ubishi umemponza...
Kitendo cha JF kuunganisha thread hizi ni hostility.
kura yako ni mkosi na laana kwa chadema lakini wanzania wanao ipenda chedema kama mkombozi wao wataipigia kura kama walivyo fanya.
fisad kuliko chenge,karamag,lowasa,mramba,kikwete et all?!
Slaa ameporomoka mapema mno kisiasa...
WanaJF,
Mosi,Muda huu mkutano wa hadhara unaendelea mkoani Kigoma.Katibu Mkuu anahutubia Eneo la Kagwa kilomita 46 kutoka Kigoma Mjini .Ni eneo lililopo kati ya Kasulu Mjini na Kigoma Mjini.Watu ni wengi na mkutano unaendelea huku wananchi wakiwa na hamasa kubwa
Mkutano wa kwanza ulifanyika Kikanga
Pili,Kuna jitihada zinazoendelea zinazoratibiwa na baadhi ya watu wa CCM na Vibaraka wao zinazojaribu kujenga Taswira kuwa kuna vurugu zinaendelea.Baadhi ya vyombo vya habari vimeingia studio muda huu na kujaribu kupiga simu kwa watu waliopangwa mahususi kwa shughuli hiyo huko Kigoma ili kutoa ushuhuda kwenye vyombo vya habari.
Habari hizo zipuuzwe.Tusubiri picha .
Hata hivyo,Muda huu kuna taarifa kuwa mtu anayejiita Dr.Alex ambaye ni msaidizi wa karibu wa mmojawapo wa watuhumiwa wa kuratibu mtandao wa uhaini ndani ya CHADEMA,kwa sasa anashughulika kwa hali na mali kwa kushirikiana na Viongozi wa juu wa CCM wa Mkoa wa Kigoma na ofisi ndogo ya CCM Lumumba kupanga vijana kwa ajili ya Maandamano huko Kigoma Mjini kwa ujira wa Sh.5,000.
Hata hivyo taarifa zote nyeti za mkakati huu zinafahamika pamoja na wote wanaohusika.
Mapambano ya Ukombozi wa Pili yanaendelea....![/QUOT
Kagwa ni sehemu gani kigoma ndugu yangu, mbona BAVICHA mnakurupuka sana!
Nisubiri zipi, zilizoeditiwa na tumaini makene?
Betrayer! I once believed, a true friend!!
Slaa will neva be a president, yeye na mbowe ni mafisadi nani atawapa kura?
watanzania ndiyo watawapa kura.
Naomba umuheshimu MUNGU. Yeye siyo mwana siasa, umechanganyikiwa!!
Body without head
mkuu hujauliwa tu bado
Ni kweli Slaa ameporomoka sana kwa ccm. Ningeshangaa ungemsifu kuwa amepanda chati, tungemuweka kwenye list ya Zitto ambaye ameporomoka vibaya!
Slaa ndiye kiboko ya mafisadi
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Fina mango wa clouds kazi yake kubwa ni kusafisha na kuwa -promote viongozi wenye kashfa na mafisadi
Mods unganisheni hii habari na ile ya maandamano. Kuhusu picha tayari tumeziona hakuna jipya labda za ku editiwa na tumaini makene
Mods unganisheni hii habari na ile ya maandamano. Kuhusu picha tayari tumeziona hakuna jipya labda za ku editiwa na tumaini makene