Mkuu sema kweli kisa kinachokufanya uichukie CCM kwa kweli visa ni kwambaNaomba umuheshimu MUNGU. Yeye siyo mwana siasa, umechanganyikiwa!!
Body without head
1. Ufisadi(ujangili,wizi,uporaji,ulanguzi,uhujumu uchumi,mauaji,utesaji,wapiga dili) mfano madini(almasi,Dhahabu,tanzanite coper nk) yanapigwa dili kwa kigezo cha uwekezaji/twiga wameporwa njenje kweupe wakapanda lidege la kijeshi Quartor kwenda Doha,Tembo/kifaru wanaelekea kupotea katika ardhi ya tanzania badala ya kupambana na hali hii ccm iko busy kuiangamiza chadema ili inchi hii ipigwe dili la kufa na kupoa. Jamani tulikatae hili watanzania tupambane kuiondoa ccm ccm ni adui No.1 Tanzania.
2. Watanzania tukae macho tutambu7a uhuni unaofanywa na majangili ya ccm leo yanapita mitaani yakihubili udini na ukanda Niwaombe watanzania kwamba leo tunataza na kushangilia pale tunaposikia viongozi(majangili) ya ccm yakihubili udini bila kutafakari kwamba siku limebuma wote ni wahanga isipokuwa majangili(ccm) yenye mipesa uswizi na ulaya .Hivyo tukatae kwa nguvu zote.
3. Dalili za hili ni nyingi sisi waislam tuposhap sana tunaposikia na kuhubiliwa udini hatulazi damu wote hujingiza mkenge upande ambao shehe anahubili. Hili naliona si zuri ni lazima watanzania tutafakari mahubili yanayokuwa yanafanywa na wanasiasa hususani ya ccm Tafakari kabla ya kuchukua hatua . Mara nyingi sana tumekosea kwa kusikiliza na kuamini maneno ya udini yanayosambazwa na ccm kwa lengo la kuifight chadema. hapo mwanzo walitumia njia hi hi kuifight CUF
4 Leo wanaanza kutumia vijana kwa kuwateka na kuwanunua wakachafue mikutano ya chadema.