Mkutano wa Dr. Slaa Kigoma 7th Dec. 2013

Mkutano wa Dr. Slaa Kigoma 7th Dec. 2013

lane,

..lakini na nyinyi CDM mko too slow.

..kwanini hamna watu wenu ktk vyombo mbalimbali vya habari?

..mambo ya kusubiri PICHA yamepitwa na wakati, tena ukizingatia picha zenyewe zinatoka baada ya masaa 36+.

..mlitakiwa muwe mnatoa VIDEO za hii mikutano tena haraka sana kabla upotoshaji haujafanyika.

..kwa kweli kitengo cha mawasiliano cha CDM has to do more, wahusika mnatakiwa mjipange upya.

cc Mwita Maranya, Mungi, Ben Saanane, Dr.W.Slaa, Molemo, Jasusi
 
Last edited by a moderator:
ccm chadema ikifanya mkutano roho zinawauma sana kinana tembo wakimwona wanakimbia kwa nini???chadema tutazidi kusonga mbele daima
 
Kwanini mnatumia nguvu mpaka mapovu yanawatoka kusisitiza watu ni wengi?
 
We ulivyo na kiherehere sina hakika kama unapata muda wa kuvaa chupi

Habari yenyewe haina chochote wala ushahidi wa picha.hii ingetolewa, pengine mletaji amelewa viroba huko PATANDI.
 
lane,

..lakini na nyinyi CDM mko too slow.

..kwanini hamna watu wenu ktk vyombo mbalimbali vya habari?

..mambo ya kusubiri PICHA yamepitwa na wakati, tena ukizingatia picha zenyewe zinatoka baada ya masaa 36+.

..mlitakiwa muwe mnatoa VIDEO za hii mikutano tena haraka sana kabla upotoshaji haujafanyika.

..kwa kweli kitengo cha mawasiliano cha CDM has to do more, wahusika mnatakiwa mjipange upya.

cc Mwita Maranya, Mungi, Ben Saanane, Dr.W.Slaa, Molemo, Jasusi

We nae umezdsha kujipendekeza duuu au ndo joto hasira yenyew hyo walenga fungu la m4c?
 
Last edited by a moderator:
Chadema wamezama kwenye tope la volcano wanahangaika kujinasua.
 
Dr Slaa is my President! Really this courage of going to Kigoma shows really we have a "down to earth" leader!! Achana na magamba na Rais wao aka "Mkiti wa Miss Tanzania" - by Ibrahim Lipumba
Rais nzuri ni Yule anayekuja na mambo mapya na magumu na kuyatenda kwa ujasiri na kwa wakati. I trust dr.slaa
 
Kazi ziendelee, pangeni vijana intelijensia iwe imara, uspy kila kona , busara itawale mwisho Umma utajua Zitto ni nani baada ya ripoti. Mwisho ajiandae kuwa mbunge wa Mahakama.
 
Wanakigoma msikubali wahuni wachache wawachafulie mkoa wenu, kwa wanachadema waliopo kigoma mpokeeni dr. Slaa kama katibu mkuu wa chama chenu na si vinginevyo! Msiige tabia za watu wa burundi tafadhali, maccm yamewapa viloba vijana ili wafanye vurugu kwenye mikutano ya cdm!
 
walisema CDM itakufa haya sasa tutaona,..
 
Ishara CCM imeshakuwa hoi wanachezeshwa mchaka mchaka Na Chadema.

Hah hah hah hah !
 
Wewe ndiyo wa kupuuzwa tulishapata tarifa za kigoma mapema wewe unaleta ulaghai wako hapa wa nini.
 
Back
Top Bottom