Nasdaz, umeandika maneno mengi badala ya kunyoka kwenye pointi yako......Kuhusu swala la chadema kutokufika kusini ilikuwa ni makubaliano ya chadema na CUF, kuwa CUF kwa kipindi hicho ilikuwa inakubalika sana pwani basi wao wachukue maeno hayo wakiwa na maana kamawakichukua pwani na CHADEMA wakachukua bara basi wange waondoa CCM kiurahisi bahati mbaya sana CUF wamewa sariti chadema, lakini kwasasa chadema inajipanga kuingia mikoa yote ya pwani siku si nyingi....Nimekuwa nikikusoma siku nyingi sana kuna kipindi huwa unaonyesha mahaba na chama cha mapinduzi na kuna wakati huwa neutral sijui ndiyo dalili za kujivua gamba....Karibu sana ChademaMimi ni mtu wa Kusini...CCM imetusaliti na CDM siiamini japo kwa punje ya uwele!! Huwa najiuliza, ikiwa CDM inatutupa mkono wakati wa kuitafuta keki ya taifa, je watatukumbuka wakati imeshapatikana!!!? napata shaka hasa nikikumbuka jinsi ambavyo Dr. Slaa alienda kusini kuomba kura! In few hourz, akapiga kampeni kwenye mikoa miwili....lakini bado wanatushawishi kwamba waliibiwa kura! Kama kuna mtu ninayemuona mjinga kuishabikia CDM basi ni mtu wa kusini unless kama ana nasaba na kaskazini!! Mtanzania mwingine yeyote labda anaweza kuishabikia CDM lakini sio mtu wa kusini!
Kutokana na mwenendo huu wa CDM ndio maana naiangalia kauli ya Dogo Janja kwa jicho la pili...!!
CDM inawatumia mbumbumbu,wachumia matumbo na wasiotambua malengo yaliyofichwa ya hiki chama.Hakuna ubishi hiki chama ni cha kikabila! Chacha wangwe alipotaka kugombea uenyekiti,mizengwe kibao iliibuliwa,Zitto naye anang'ang'ana hatafanikiwa kamwe! Uenyekiti ni wa wenye chama tu,wachaga.Bob makan aliukwaa uenyekiti baada ya mtei coz ameoa na kujenga uchagani na alikuwa hana maamuzi(rubber stamp).Inatisha sana.
Kabla ya kuanza kunitajia ulipaswa kujibu swali la kwanza ndiyo ungeweza kujinafaasi kunitajia...Ali Hassan Mwinyi - Wizara ya Afya Tanzania 1972 mpaka 1975
Ali Hassan Mwinyi - Wizara ya Mali asili na utalii Tanzania 1982 mpaka 1983.
Ahmed Hassan Diria - Wizara ya habari na Utangazaji Tanzania - 1989 mpaka 1990.
Unataka niendelee!!!!
Nionyeshe chama ambacho wafuasi wake hawna kabila ili tukisapoti.CDM inawatumia mbumbumbu,wachumia matumbo na wasiotambua malengo yaliyofichwa ya hiki chama.Hakuna ubishi hiki chama ni cha kikabila! Chacha wangwe alipotaka kugombea uenyekiti,mizengwe kibao iliibuliwa,Zitto naye anang'ang'ana hatafanikiwa kamwe! Uenyekiti ni wa wenye chama tu,wachaga.Bob makan aliukwaa uenyekiti baada ya mtei coz ameoa na kujenga uchagani na alikuwa hana maamuzi(rubber stamp).Inatisha sana.
Hapa kidogoo nimekuwa shocked.......picha ninayopata kumbe ni kweli mwanachama maarufu wa CDM alitamka kauli hiyo mbele ya kadamnasi, hata hivyo mwenyekiti wa chama akakanusha na kutamka wazi kwamba hiyo si kauli ya CDM bali ni ya Mwanachama wake!!
Iwavyo vyovyote, ni pale atakapotokea mwenyekiti mwendawazimu tu ndipo angeweza kukiri kwamba kauli hiyo ni ya chama!! Hivyo basi, sishangai kusikia Mbowe akikanusha!
Picha nyingine ninayopata hapa ni kwamba, hiyo inaweza isiwe kauli ya chama lakini haimaanishi kwamba sio agenda ya chama! Kauli na agenda ni vitu viwili tofauti. Panaweza kuwa na agenda lakini kauli rasmi kuhusu agenda husika ikawa haijatolewa....je, Dogo Janja aliropoka kabla ya wakati muafaka?!
Kuna hii picha nyingine! Inawezekana kabisa kwamba hiyo isiwe kauli wala agenda ya chama....lakini kumbe kuna "wanachama maarufu" wenye agenda ama mawazo kama hayo kwenye mitazamo yao...hili si jambo jema hata kidogo!!
Wengi wanaituhumu CDM na Ukaskazini.....!!! Sina hakika katika hili ingawaje jambo lililo wazi ni kwamba matendo ya CDM yana-reflect tuhuma zinazotolewa dhidi yake!! Kuna harakati za kufa mtu za kuijenga CDM kanda ya Kaskazini lakini harakati hizo hazionekani kwenye maeneo mengine ya nchi hususani pwani na kusini!! Baada ya uchaguzi mkuu 2010, CDM walitangaza kufanya uamsho nchi nzima....inakaribia miaka miwili hivi sasa lakini maeneo wanayozungukia ni yaleyale....!!! Wenyewe wanaita hizo ni strategic areas huku wakitarajia kuchukua nchi kupitia wapiga kura wa ukanda mmoja tu!!!
Mimi ni mtu wa Kusini...CCM imetusaliti na CDM siiamini japo kwa punje ya uwele!! Huwa najiuliza, ikiwa CDM inatutupa mkono wakati wa kuitafuta keki ya taifa, je watatukumbuka wakati imeshapatikana!!!? napata shaka hasa nikikumbuka jinsi ambavyo Dr. Slaa alienda kusini kuomba kura! In few hourz, akapiga kampeni kwenye mikoa miwili....lakini bado wanatushawishi kwamba waliibiwa kura! Kama kuna mtu ninayemuona mjinga kuishabikia CDM basi ni mtu wa kusini unless kama ana nasaba na kaskazini!! Mtanzania mwingine yeyote labda anaweza kuishabikia CDM lakini sio mtu wa kusini!
Kutokana na mwenendo huu wa CDM ndio maana naiangalia kauli ya Dogo Janja kwa jicho la pili...!!
Ali Hassan Mwinyi - Wizara ya Afya Tanzania 1972 mpaka 1975
Ali Hassan Mwinyi - Wizara ya Mali asili na utalii Tanzania 1982 mpaka 1983.
Ahmed Hassan Diria - Wizara ya habari na Utangazaji Tanzania - 1989 mpaka 1990.
Unataka niendelee!!!!
Nasdaz, umeandika maneno mengi badala ya kunyoka kwenye pointi yako......Kuhusu swala la chadema kutokufika kusini ilikuwa ni makubaliano ya chadema na CUF, kuwa CUF kwa kipindi hicho ilikuwa inakubalika sana pwani basi wao wachukue maeno hayo wakiwa na maana kamawakichukua pwani na CHADEMA wakachukua bara basi wange waondoa CCM kiurahisi bahati mbaya sana CUF wamewa sariti chadema, lakini kwasasa chadema inajipanga kuingia mikoa yote ya pwani siku si nyingi....Nimekuwa nikikusoma siku nyingi sana kuna kipindi huwa unaonyesha mahaba na chama cha mapinduzi na kuna wakati huwa neutral sijui ndiyo dalili za kujivua gamba....Karibu sana Chadema
Mungi, Crashwise na makamanda wengine big up sana. Nimesoma na kuhabarika.
Nas Daz,
..suala ni wananchi wa kusini muamue wenyewe kujiunga na harakati za CDM.
..yaani unataka watoke watu toka maeneo mengine ya Tanzania waje kusini kuwaelekeza na kuwafundisha kwamba mnapaswa kuikataa CCM??
..Why not start ur own movement huko Kusini halafu muunganishe nguvu na CDM,TLP,TPP Maendeleo, baada ya kuona malengo yenu yanafanana?
NB:
..Nassary siyo mtu wa kwanza kutoa kauli za kutaka kujitenga nchi hii.
..kuna wabunge kama Selelii wa CCM amewahi kutoa kauli kama hizo ndani ya bunge.
..pia wako wabunge wa maeneo mengine kama Kigoma, na hata wabunge wa kusini wamewahi kutoa kauli kama hizo.
..msiikuze sana kauli ya Nassary as long as Mwenyekiti wake amemkosoa hapo hapo.