dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,121
- 49,369
2po wengi arusha,sio lazima mimi kila kitu.
Najua mko wengi ila wenye uwezo wa real live updates ni wachache na sidhani kama wewe ni miongoni mwao!
2po wengi arusha,sio lazima mimi kila kitu.
Mpango unakamilika km ungerekebisha full maripoti,ila siyo mbaya.UMESOMEKA.2po wengi arusha,sio lazima mimi kila kitu.
Hivi watu wa Arusha hawachoki tu?
Chadema kuna maeneo muhimu mnatakiwa kuweka kambi kama chama hivi kila siku Arusha mbaya zaidi mnadanganya leo mnasema kuna watu Milioni 1 wanachukuwa kadi za Chadema.
Chadema nendeni maeneo mengine kama.
Pangani.
lushoto.
Korogwe.
Muheza.
Kiindi.
Pangani.
Mkinga.
Hivi ni viongozi gani wa CDM watakaokwepo kwenye huo mkutano?
nasikia James Millya ameachana na uamuzi wake wa kuhamia CDM na amekiomba radhi chama chake cha CCM. na hii ni baada ya Nanyaro kumwambia atakaa benchi kwa muda usiopungua miaka 5 bila hata cheo cha m/kiti wa kata CDM.
una maleria kutokana na hii baridi.
Najua mko wengi ila wenye uwezo wa real live updates ni wachache na sidhani kama wewe ni miongoni mwao!
Wazaramo na Wakwere kazi yao kucheza ngoma tu, mambo haya ya ukombozi watayajuwa wapi? wakati wao wakivuna mpunga ni kucheza ngoma mpaka pea iishe?
Hukusikia Geita, Mwanza, Mbeya...Subiri mambo yakiiva tutatua hapo Dar mpaka Kikwete anajivua gamba...