Katibu Mkuu na TRENI Kigomaa... Nape Nnauye alikuwa na Makamu wa Mwenyekiti Mwanza na Kagera huko kulikuwa sio kuzuri Nape Nnauye kamkimbia -- yuko na Katibu Mkuu ndani ya TRENI ya KIGOMA... LOL...
Lukosi usijidanganye. Madawa ya kulevya ni biashara mbaya sana. Na kama unadhania utapata pesha kwa kutoza kwenye MOT ni ujinga. Kwa nini nije kwenye kampuni uchwara wakati najua gerages kibao zinatoa MOTs za uhakika na gari lako linakuwa salama kuliko nyinyi mnaoendekeza njaa. Be careful my brother soon utaingia kwenye matatizo ambayo utajuta kuzaliwa ama kuja ulaya. Kila nyendo yako inafuatiliwa kwa karibu sana. Usishangae unapewa 24hrs za kuondoka. Pole mjinga wewe