Mkutano wa CCM mkoani Iringa 'wafana'

Mkutano wa CCM mkoani Iringa 'wafana'

Safi sana huu ndo uletaji wa habari usioacha shaka, mwenye hasira atuachie jukwaa tu..dah, hali ya wakubwa imekaa vibaya! Kudadadek.!!
 
mbaya zaidi wakati wa kuondoka wa wamemuondoa kama mwizi,kuogopa kupopolewa
 
nilikuwepo hapo vibanda nguruwe vya ccm amngula walimpitisha njia ya uchororoni sio barabarani maana watu mjini kote walikuwa wakiwazomea na hata walikuwa kwenye maliri walimwagiwa maji,vumbi hata mawe huku polis wakiwatazama tu,baada ya hapo watu waliimba wakimtaka mwangosi wao ilikuwa aibu kweli.
 
Makamu mwenyekiti wa CCM taifa Philp Mangula amekuwa na wakati mugum sana mkoani Iringa katika kuwahutubia wale alioamini kuwa ni wanchama wa CCM katka viwanja vya Mwembetogwa mkoan hapa. Kiongoz huyo wa CCM (chichidodo) amejikuta akiwa na wakati mugmu sana pale aliposhindwa kutoa hoja za kimsingi zenye kutoa majibu ya kero za wananchi mkoan hapa.

Kiongoz huyo alisisitiza vikao vya ndan vya chama na kuzid kuwachosha wanairinga waliosombwa kutoka isman, kalenga ,kilolo, pawaga, dabaga na sehem zingnezo.

Katka kile kilichoonekana kuwachosha wananchi hao na wananchi kutokuwa na imani na Mangula na CCM yake. Aslimia kubwa ya watu waliohudhulia mkutano huo walionyesha alama ya vidole viwili wakionyesha imani yao kwa CHADEMA.

Mungu wangu chichidodo huyo alimanusula atoa mchoz jukwaan pale alipoona umati mkubwa ukimzomea kinyume cha mamtarajio yake , kwan hata wale waliovaa sare za kijan walioonyesha kumzomea zaidi.
AMA KWELI KIFO CHA CCM IRINGA KIMEFIKA.

Sishangai kwani ktk uchaguzi ngazi ya wilaya walimkataa, kwa CCM hakuna lisilowezekana....sasa ni bosi Taifa...........CHiCHiDoDo..............
 
Hapo kwenye nyekundu Wassira alisema CDM itakufa baada ya mwaka mmoja tu, sasa sijui sasa hivi ana maoni gani??


2010, Sheihk Yahaya Hussein, Atakaye mpinga Kikwete atakufa, akafa yeye!

2010, Makamba "CHADEMA'' haiwezi kushinda urais au viti vya ubunge wakijitahidi sana watashindi kiti kimoja" Matokeo yake sote tuliyaona,

Sasa, Mwigulu Nchemba, Nape, Wassira na viongozi wengine wa CCM utabiri wao ni kwamba CHADEMA itakufa mwaka 2015, lakini nikionacho leo CCM ndo inawakati mgumu hata kuliko 2010!

KWELI CCM NAMBARI MOJA hasa kwa vioja na Ufisadi nani kama CCM, siku hizi hata nyimbo za John Komba sizisikii hadi uchaguzi tofauti na zamani, utasikia Peoplez.....................................................power!
 
Jana tarehe 26.01.2013 CCM walikuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa Iringa Mjini na Makamu Mwenyekiti wa CCM bara Bw.

Philip Mangula alikuwa mgeni rasmi.Mkutano ulienda vizuri lakini mara baada ya mkutano kumalizika, zomeazomea ilianza. Ilikuwa ni aibu na fedheha kubwa pale ambapo kila gari la viongozi (akiwemo Mangula) na wajumbe lilipokuwa likiondoka toka uwanjani, wananchi wanaoaminika kuwa si wafuasi wa CCM walikuwa wakizomea kwa makelele kiasi cha kusababisha polisi kutaka kuingilia kati.

Uzuri ni kwamba zomeazomea hiyo ilikuwa ikifanyika pasipo vurugu ya kurusha mawe ama kushikana mashati. Kuna wakati hata polisi nao walikuwa wakichekelea pindi gari iliyobeba viongozi ama wajumbe wa CCM na kisha kuzomewa!!!

Wana JF nimeona ni vema niwajuze.
 
Itisha Uchaguzi ndio utajua kama CCM iko hai au imekufa! Kumbukumbu zinaonesha kuwa mara ya Mwisho kumefanyika Uchaguzi wa kata 29,CCM ikachukua kata 22 na vyama vingine vikaambulia kugawana viti 7!

ccm jibu hoja za msingi wacheni porojo na short cut za kuwaada wananchi pindi elimu ya uraia ikiwafikia wote hata hizo kata 22 kwa 7 itakuwa vice versa.yanayotokea mtwara na kwingineko ni mapokeo ya elimu ya uraia.....m4c
 
Mbona jana walikuja na tambo zao humu jf?Inakuwaje tena wanazomewa kama wao ni makini?
Jana tarehe 26.01.2013 CCM walikuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa Iringa Mjini na Makamu Mwenyekiti wa CCM bara Bw. Philip Mangula alikuwa mgeni rasmi.Mkutano ulienda vizuri lakini mara baada ya mkutano kumalizika, zomeazomea ilianza. Ilikuwa ni aibu na fedheha kubwa pale ambapo kila gari la viongozi (akiwemo Mangula) na wajumbe lilipokuwa likiondoka toka uwanjani, wananchi wanaoaminika kuwa si wafuasi wa CCM walikuwa wakizomea kwa makelele kiasi cha kusababisha polisi kutaka kuingilia kati. Uzuri ni kwamba zomeazomea hiyo ilikuwa ikifanyika pasipo vurugu ya kurusha mawe ama kushikana mashati. Kuna wakati hata polisi nao walikuwa wakichekelea pindi gari iliyobeba viongozi ama wajumbe wa CCM na kisha kuzomewa!!!Wana JF nimeona ni vema niwajuze.
 
Kwann hakwenda mtwara? Watu wanakufa Mali zinateketea anabaki Iringa?
 
Zomeazomea ya kihehe ni ya heshima ila ujumbeujumbe yaani mzomeaji hupiga hata magoti kama anayezomewa ni mtu mzima kama mangula lakini ujumbe wao ni kwamba hatuwataki beeee!!!!
 
hivi serikali ya ccm hawajaanza tu kukabishi ofisi? tumesema tutabaki na viongozi wa serilali waadilifu tu. pole mzee wangu CCM uliyoiongoza miaka hiyo si hii ya sasa ya matusi na kejeli bila kujibu hoja za wananchi.
 
Ni wahuni wachache walienda kufanya vurugu, mie binafsi naingia iringa kuanzia June....

utaweza isije kuwa mbwembwe za dereva wa bajaji kucheza huku amekaa.mwakalebela na takukuru wewe na tbs
 
Hata baada ya 2015 CCM itaendelea kutawala!
Nguvu ya mamba ipo ndani ya maji, nchi kavu mamba hana ujanja. Hata SISIEM wanalifahamu hilo ndo maana hawataki tume huru ya uchaguzi(hayo ndo maji kwa SISIEM) kwa jinsi wanavoendelea kukataliwa kila mahali, ni miujiza tu itaendelea kuwaweka madarakani kama kukiwa na tume huru ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom