Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
ameanza hisitolia ya shuleni eti walisinzia chama kikaanza kuota gamba ameanza kuwaponda wapinzani wakipata kagimbo 1 wanashangilia wanaokoteza ajenda niliwapaka bungeni sasa wananinunia
Lengo la maandamano ni kwa wanaCCM wa Mbeya kuupongeza uamuzi wa NEC na Secretarieti mpya ya chama wa kuelekea kuijenga CCM katika mtazamo mpya, na Lengo la mkutano ni kuuelezea umma wa Mbeya zana nzima ya kujivua gamba na hatua zilizofikiwa mpaka sasa katika harakati za kukisafisha chama.
Kwa wale waliokaribu na mji wa Mbeya, mkutano huo utarushwa Live na Radio Generation FM.
Great thinkers nimeangalia mkutano CCJ wakubwa na Vijana wao waliokuja hapa namuona SIX,NAPE bin NNAUYE bin MWANDOSYA,pia namuona Mwakiembe baba mdogo wa Nape,pia Namuona Anne kilango alietuambia watanzania kuwa anahongwa chai na Ngeleja,Pia namuona Mjane Jenista Muhagama huyu sijui kama na yeye ni CCJ.Sijaona cha maana zaidi ya Ngojera na kuongeza ahadi mpya kuwa Miamba itatoa umeme.Kwahiyo wana Jf waliokuja leo kutuletea kelele hapa Mjini ni wana CCJ walioko CCM.Toka jana usiku tumepewa buku 4000 kuhudhuria mkutanoni na Mabango kidogo wametupa sijaona la maana sana hapa .kama kuna mtu yuko mbeya naomba atujuze kinachondelea kwenye maandamano na mkutano wa CCM. tupia hapa habari tujadili bandugu.
toeni habari, hayo ya kuonana mfanye badaeuko wpi?nipo hp,
Kama viongozi wote wakuu wa CCJ walikuwepo basi mkutano wa CCJ ulifana sana.Great thinkers nimeangalia mkutano CCJ wakubwa na Vijana wao waliokuja hapa namuona SIX,NAPE bin NNAUYE bin MWANDOSYA,pia namuona Mwakiembe baba mdogo wa Nape,pia Namuona Anne kilango alietuambia watanzania kuwa anahongwa chai na Ngeleja,Pia namuona Mjane Jenista Muhagama huyu sijui kama na yeye ni CCJ.Sijaona cha maana zaidi ya Ngojera na kuongeza ahadi mpya kuwa Miamba itatoa umeme.Kwahiyo wana Jf waliokuja leo kutuletea kelele hapa Mjini ni wana CCJ walioko CCM.Toka jana usiku tumepewa buku 4000 kuhudhuria mkutanoni na Mabango kidogo wametupa sijaona la maana sana hapa .
Six anarudia rudia nadharia za Ngereja kuhs umeme. umeme eti ni la muda na wapinzani wanadandia!!
wanazidi kushangaza, sidhani kama wana majibu ya kuridhisha kwa hoja hizo!Hiyo miamba itatoa vipi umeme kama maji yameshindwa?wajibu hoja ya mfumuko wa bei,vyakula kupanda bei,umeme hakuna.