Kabla ya picha,soma tangazo hili:
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Aiseeeeeeeee! You have made my day muheshimiwa. Loooo.........shame on them magambas and their followers. Duuuh........magamba kwishnei kabisa.
Kupelekwa na kutelekezwa baada ya mkutano ni kawaida ya CCM. Si mnakumbuka mkutano wa pale Kirumba mwanza nini kilitokea..!!!? Mtakaokwenda hapo mkutanoni, jiandaeni kurudi kwa kujitegemea. Haya mambo ya kupelekwa na kururdishwa hayapo CCMNi kweli maana jana jioni wajumbe wa nyumba kumi KATA YA MAKUBURI walikutana kupewa maelekezo ya kuwatafuta watu wa kwenda jangwani kwenye mkutano huo. Ninapokaa external walikutana Mabibo/Makuburi S/M magari wameambiwa watafute ya gharama ndogo yale yaendayo MAKOKA ili watu wa maeneo hayo watumie usafiri huo, lakini kuna tetesi kuwa walishapelekwa kwenye mikutano ya Jangwani kwa magari wakati wa kurudi wakaambiwa wajitegemee.
Natoa majibu ya maswali hayo, kama unaona si majibu basi weka yako.......Ndugu zangi maswali madogo: -
1. Lengo la mkutano nini nini?
2. Je utarushwa live ili nasi wa mbali tuone?
Nashukuru.
Imefahamika kuwa kila matawi mawili ya CCM katika Jiji la Dar es salaam yatapatiwa basi moja, iwapo wangepeleka ombi lao kabla ya leo (Ijumaa) saa 7. Ili kufanikisha mkakati huo wa kutoa usafiri, makada wenye mabasi na malori wametakiwa kujitolea magari yao, ukiwa kama mchango wao kwa Chama. Aidha, viongozi wote wa mashina, vitongoji, mitaa, kata, wilaya na mkoa, kwa tiketi ya CCM wametakiwa kuhudhuria bila kukosa; labda kwa udhuru usioweza kuzuilika. Mitaa mingine wajumbe na wakereketwa wameombwa kuchangia walau shilingi elfu moja kwa ajili ya kukodi magari ya kuwapeleka na kuwarudisha mikutanoni.
Matawi yamehamasishwa kuandaa mabango yenye ujumbe wa kukiponda chama cha CHADEMA na vyama vya upinzani kwa ujumla.
Source: Rafiki yangu ambaye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa (lakini anaipenda sana CHADEMA)
Imefahamika kuwa kila matawi mawili ya CCM katika Jiji la Dar es salaam yatapatiwa basi moja, iwapo wangepeleka ombi lao kabla ya leo (Ijumaa) saa 7. Ili kufanikisha mkakati huo wa kutoa usafiri, makada wenye mabasi na malori wametakiwa kujitolea magari yao, ukiwa kama mchango wao kwa Chama. Aidha, viongozi wote wa mashina, vitongoji, mitaa, kata, wilaya na mkoa, kwa tiketi ya CCM wametakiwa kuhudhuria bila kukosa; labda kwa udhuru usioweza kuzuilika. Mitaa mingine wajumbe na wakereketwa wameombwa kuchangia walau shilingi elfu moja kwa ajili ya kukodi magari ya kuwapeleka na kuwarudisha mikutanoni.
Matawi yamehamasishwa kuandaa mabango yenye ujumbe wa kukiponda chama cha CHADEMA na vyama vya upinzani kwa ujumla.
Source: Rafiki yangu ambaye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa (lakini anaipenda sana CHADEMA)
Jamani natafuta Khanga na Kofia nitapata wapi ili kesho niende!Uwwii kesho itakuwa funika mbovu na wenye sumu wajinyonge
mfumuko wa bei,mishahara duni kwa wafakazi wa umma,ufisadi,ufukara,manyanyaso na mauji kwa raia wasio na hatia,na upumbavu mwingine mlio wafanyia watanganyika,acheni kuiga chadema wenzenu wana hoja za mvuto na zina kubalika,wezi wa kubwa nyie