Mkutano wa CCM Jangwani: Usafiri Upo (Mabasi na Fuso)

Chama kita toa buku tano kwa kila mwanachama hili ili uwanja wa jangwani ujae .

Madereva pikipiki wata ongoza msafara hadi jangwani na posho yao ni elf kumi.

Wanachama wa nyinyiemu ruksa kutembea kwa makundi hadi jangwani.

.polisi wapo wakutosha kuwalinda hata kama wanachama wa nyinyiemu wakitembea kwa makundi kutoka kibaha hadi jangwani.

.diomond,ay,barnaba,linal na wengine kibao watatumbuiza.

.viongozi wa kitaifa wataongelea mambo yanayo wahusu wananchi wote kwenye mkutano wa nyinyiemu maana wananchi wote ni wana nyinyiemu.

. Agenda kuu itakuwa ni jinsi ya
kupambana na chadema.

.wanachama wapatao 3000 kutoka chadema watajiunga nyinyiemu,na kadi za chadema zinachapishwa pale kariakoo ili kuwapa wana nyinyiemu wazirudishe pale jangwani.

. Lusinde ndie atakaye fungua kwa hotuba ya kumponda dr slaa na lema.
 
Kabla ya picha,soma tangazo hili:

5dba1677-a5a1-21d3.jpg


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mijinga kama hii ndiyo inasababisha matatizo katika nchi hii. Kwa jinsi hii, nitajitoa kuwa "alumni" wa UDSM! Of all the places, UDSM ndiyo inatoa mabasi kuwasafirisha wanafunzi kwenda kwenye mkutano wa CCM?
 
Jamani natafuta Khanga na Kofia nitapata wapi ili kesho niende!Uwwii kesho itakuwa funika mbovu na wenye sumu wajinyonge
 
Ni kweli maana jana jioni wajumbe wa nyumba kumi KATA YA MAKUBURI walikutana kupewa maelekezo ya kuwatafuta watu wa kwenda jangwani kwenye mkutano huo. Ninapokaa external walikutana Mabibo/Makuburi S/M magari wameambiwa watafute ya gharama ndogo yale yaendayo MAKOKA ili watu wa maeneo hayo watumie usafiri huo, lakini kuna tetesi kuwa walishapelekwa kwenye mikutano ya Jangwani kwa magari wakati wa kurudi wakaambiwa wajitegemee.
Kupelekwa na kutelekezwa baada ya mkutano ni kawaida ya CCM. Si mnakumbuka mkutano wa pale Kirumba mwanza nini kilitokea..!!!? Mtakaokwenda hapo mkutanoni, jiandaeni kurudi kwa kujitegemea. Haya mambo ya kupelekwa na kururdishwa hayapo CCM
 
Ndugu zangi maswali madogo: -
1. Lengo la mkutano nini nini?
2. Je utarushwa live ili nasi wa mbali tuone?
Nashukuru.
Natoa majibu ya maswali hayo, kama unaona si majibu basi weka yako.......
1. Lengo la mkutano nini nini? HAWANA LENGO ZAIDI YA KUWAIGA CDM
2. Je utarushwa live ili nasi wa mbali tuone? SINA UHAKIKA................
 
Imefahamika kuwa kila matawi mawili ya CCM katika Jiji la Dar es salaam yatapatiwa basi moja, iwapo wangepeleka ombi lao kabla ya leo (Ijumaa) saa 7. Ili kufanikisha mkakati huo wa kutoa usafiri, makada wenye mabasi na malori wametakiwa kujitolea magari yao, ukiwa kama mchango wao kwa Chama. Aidha, viongozi wote wa mashina, vitongoji, mitaa, kata, wilaya na mkoa, kwa tiketi ya CCM wametakiwa kuhudhuria bila kukosa; labda kwa udhuru usioweza kuzuilika. Mitaa mingine wajumbe na wakereketwa wameombwa kuchangia walau shilingi elfu moja kwa ajili ya kukodi magari ya kuwapeleka na kuwarudisha mikutanoni.

Matawi yamehamasishwa kuandaa mabango yenye ujumbe wa kukiponda chama cha CHADEMA na vyama vya upinzani kwa ujumla.

Source: Rafiki yangu ambaye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa (lakini anaipenda sana CHADEMA)

Tunaomba nakala ya waraka huo wa CCM kwenda kwenye matawi yake!!!
 
Imefahamika kuwa kila matawi mawili ya CCM katika Jiji la Dar es salaam yatapatiwa basi moja, iwapo wangepeleka ombi lao kabla ya leo (Ijumaa) saa 7. Ili kufanikisha mkakati huo wa kutoa usafiri, makada wenye mabasi na malori wametakiwa kujitolea magari yao, ukiwa kama mchango wao kwa Chama. Aidha, viongozi wote wa mashina, vitongoji, mitaa, kata, wilaya na mkoa, kwa tiketi ya CCM wametakiwa kuhudhuria bila kukosa; labda kwa udhuru usioweza kuzuilika. Mitaa mingine wajumbe na wakereketwa wameombwa kuchangia walau shilingi elfu moja kwa ajili ya kukodi magari ya kuwapeleka na kuwarudisha mikutanoni.

Matawi yamehamasishwa kuandaa mabango yenye ujumbe wa kukiponda chama cha CHADEMA na vyama vya upinzani kwa ujumla.

Source: Rafiki yangu ambaye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa (lakini anaipenda sana CHADEMA)

Nasikia kesho wameandaa mamluki kwa ajili ya kurudisha kadi za chadema




Baraka Boki (MEng, MBA from Duke University)
 
Jamani natafuta Khanga na Kofia nitapata wapi ili kesho niende!Uwwii kesho itakuwa funika mbovu na wenye sumu wajinyonge

attachment.php



Bollocks!!!
 

Attachments

  • Wazee wa Usafiri na Ubwabwa.jpg
    Wazee wa Usafiri na Ubwabwa.jpg
    111.2 KB · Views: 91
Hii Thread inayauma Magwanda.
Ha! ha! ha! ha!
CCM chuma cha pua, hakiyeyushwi na MOSHI
 
mfumuko wa bei,mishahara duni kwa wafakazi wa umma,ufisadi,ufukara,manyanyaso na mauji kwa raia wasio na hatia,na upumbavu mwingine mlio wafanyia watanganyika,acheni kuiga chadema wenzenu wana hoja za mvuto na zina kubalika,wezi wa kubwa nyie

Ha ha ha haa, usinipiga mawe mkuu mie nilikuwa nawasilisha waliosema kupitia katibu mwenezi wa mkoa wa dsm.
Nawakana watu hawa sio mmoja wao!
 
quote_icon.png
By MANGUNGO
Mfumuko wa bei,mishahara duni kwa wafakazi wa umma, ufisadi, ufukara, manyanyaso na mauji kwa raia wasio na hatia, na upumbavu mwingine mlio wafanyia watanganyika, acheni kuiga chadema wenzenu wana hoja za mvuto na zina kubalika, wezi wa kubwa nyie.

Daaaahhh kumbe somo wanalifahamu hivi, pamoja na MUZIKI WA CHADEMA kwa walalahoi nchini, hata nao kule kambi ya WanaChaamwino!!!

 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom