Mkutano maalum wa kidunia wa masuala ya Usalama waanza leo mjini Munich. Je,Tanzania imepeleka mwakilishi?

Tuchukulie suala la Tundu Lissu.

Katika "intelligence world" anachofanya Tundu Lissu chaweza kuitwa ni "mind games" hivyo inahitaji busara na hekima kujibu yale anayosema.

Hapo ndipo wale mazee hukaa chini na kudadavua namna ya kujibu mambo hayo kwa ufasaha.

Na nafikiri aliepatia kuanza kujibu kwa njia sahihi ni Spika wa bunge, na umeona kilichotokea baada ya hapo yeye amelenga kwenye kusimamisha malipo ya mshahara wake.

Hiyo ni kwasababu inaeleweka kwamba ukifanya "direct hit in the pocket" unapata "direct effect" na "effect" hiyo imekuwa ni kuanza kuomba michango.

Nafikiri nilileta uzi humu ukishauri kwamba serikali na CCM wasikurupuke kumjibu Tundu Lissu kwani wanafanya makosa.

Nafikiri pia umeshuhudia yalotokea.
Navomuangalia Lissu akiongea kuipinga Serikali na jinsi kaka yake Alute alivyoongea na waandishi wakati yeye yuko Kenya kwa matibabu, Lissu anaonekana kama ni mtu wa kitengo.
 
Mimi naamini kila kauli ya Raisi Dr Magufuli kwasababu ni mzalendo kuliko maraisi wote waliopita. Tena anaijua hii nchi sana kwasababu amekaa madarakani miaka zaidi ya 20: Halafu changamoto za kiusalama ni Relative na siyo Universal, hivyo changamoto za mabepari siyo sawa na changamoto za kwetu.

Wewe umesahau tulivyompiga nduli Iddi Amin dada ?? Umesahau tulivyowapoga M23 kule Congo DRC ?? Umesahau ni jinsi gani kitengo kiliweza kuzuia mafisadi kama Lowassa wanaotumiwa na Mabepari kushika nchi ?? Umesahau tulivyowavua nguo mabepari kwenye ishu za makinikia ?? Au huoni ni jinsi gani tunaendelea kuwashughulikia wasalati na vibaraka wa mabepari ndani ya nchi yetu ??

Hivyo changamoto za kiusalama zipo sana lakini amini kwamba Tanzania iko salama. Yale ya kibiti umeona yanaendelea tena ??

Jakaya na Mkapa walienda sana huko lakini nchi haikupata faida yoyote ile. Mimi nashauri kwamba wasiende kabisa maana tuna mambo mengi ya kufanya hapa nchini kuliko kukaa tu kwenye huo mkutano wa mabepari, balozi Dr Possi anatosha.

Tena ikiwezekana tupunguze hata ofisi za ubalozi huko nje maana hazina manufaa yoyote yale, zaidi zaidi mabalozi huwa wanapeana kindugu na kwenda kupumzika tu huko. Tuwe na uzalendo na pesa za wananchi jamani, hivi mnavyoambiwa hii nchi imeibiwa sana huwa hamuelewi ?? Safari kama hizi ni moja ya chanzo cha sisi kuchelewa kupata maendeleo.

Au mnasemaje ndugu JokaKuu na Nguruvi3
Hahahahahha mkuu dah! wenye akili wamekuelewa.... We kweli great thinker
 
CAG aliulizwa kama kuna ufisadi umefanyika akajibu hapana. Wewe unataka kubishana na Raisi wetu ?

Kuhusu uwanja wa Chato kule ni nyumbani kwa kina Raisi Magufuli na huwa anaenda kupumzika, sasa ulitaka Raisi afikaje kwao ? Mbona Jakaya Kikwete alitaka kujenga bandari kule kwao Bagamoyo na hamkulalamika mnakuja kulalamika kwa Raisi Magufuli ? Halafu unajua kwamba Chato Airport utaitwa Geita Airrport, sasa unalalamika nini wakati uwanja utakuwa ni wa Geita ?

Mamlaka maana yake ni Authority or Power to act within certain jurisdiction or bounds of law. Lakini Raisi Magufuli hata akikosea ni udhaifu tu wa kibinadamu lakini jua kuwa ana nia njema sana na nchi hii, wakina Jakaya walilete kufuata Sheria lakini nchi haikufika popote pale. Kama unakumbuka alivyokuwa anamuapisha mama Anna Mghwira alisema " I give you power, and power is power, akikisumbua yoyote yule wewe mshughulikie tu kwa maslahi ya wananchi"

Mkuu demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu havipo duniani, ni mbinu tu za kibepari kutaka kutukandamiza na kuiba rasilimali zetu kama walivyofanya kule Libya kwa Gaddafi na Kuwait kwa Saddam Hussein.

Mkuu Red Giant unakumbuka mabepari walichomfanyia Raisi wa Kuwait Saddam Hussein ?
Hahahahaaa, nakumbuka. hatuwezi kukaa meza moja na wauaji, matapeli na patronizing SOBs... Ila hii sarcasm inaweza kumfool yeyote, ilibaki kidogo mkuu Damaso angeanza kukuporomoshea matusi..
 
Hahahahaaa, nakumbuka. hatuwezi kukaa meza moja na wauaji, matapeli na patronizing SOBs... Ila hii sarcasm inaweza kumfool yeyote, ilibaki kidogo mkuu Damaso angeanza kukuporomoshea matusi..
Ni challenge tu mkuu

Sent using Infinix hot 4
 
Tanzania tuko vizuri sana kiusalama wala hatuna haja ya kwenda huko, hakuna changamoto ambayo kitengo hawawezi kutatua. Tena baada ya Raisi Magufuli kuingia madarakani Usalama wa nchi umekuwa imara sana kama kipindi cha Nyerere, yani kiufupi nchi iko pazuri mno.

Halafu kwanini tupoteze pesa nyingi kwenda huko Ulaya wakati tunatakiwa kuwatumikia watanzania hapa nchini na mahospitalini hakuna madawa! Watu wakienda huko wataende tu kupiga dili na kuzurura na mahawala wao. Pia unasahau kwamba hii mikutano ni mkusanyiko wa nchi za mabepari ambao wameiibia Tanzania kwa miaka mingi sana, twende huko kwao kufanya nini ?
Mlizoea safari za nje kama hizi zisizo na tija, sasa Hapa Kazi Tu. Mkuu Richard fanya kazi, Raisi kasema hakuna kwenda nje hovyo mpaka pale Tanzania inakuwa imenyooka.
:D:D:D:D:D:D,Nimecheka sana hii comment yako mkuu.
 
Nitajaribu kukujibu kuendana na uelewa wako. Tatizo letu tumemezeshwa mambo hatujaangalia kwa jicho undani. Twende pamoja ndugu.
1. Unajua sababu ya Iddi Amin kupigana na Tanzania?
1.1 Je unajua historia ya Kagera na mahusiano yake kwa Tanzania pamoja na Uganda?
2. Umewaita USA na Urusi kuwa mabepari!!! je unajua kuwa hawa ndo wanaochangia more than 40% ya bajeti ya Tz?
Kama na hilo haulijui basi chukua hii tena, hao mabepari ndo waanaongoza kwa kuleta non governmental organization kuleta misaada huku Afrika.
Chukua hii Hizo dream liner zenu mlizonunua wametengeneza kina mtukufuku Rais eehh.
Wahenga wanakuambia "Kamwe usimtusi baba kama hujui utakula wapi".
Fixation ya serikali hii zinaonekana ila mnajaribu kuzificha kwa few and unrelated comments ambazo mwisho wa siku zinawarudia wenyewe.
Nasubiri majibu ndugu lengo ni kuendeleza Tz moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu hujagundua kwamba Malcom Lumumba anakuzingua,wala hayupo serious:D:D:D:D
 
Back
Top Bottom