Mkutano maalum wa kidunia wa masuala ya Usalama waanza leo mjini Munich. Je,Tanzania imepeleka mwakilishi?

Ila kumbuka imeshindwa kufanya The intended functions for the benefits of the nations. Sasa ni for the benefits of Yohana

Sent using Infinix hot 4

Lakini si zipo different branches na zinafanya kazi.

Zipo za ndani, nje na kwingine ila si zote zinafanya kazi moja tu.

Isitoshe huyo Yohana unaemsema nae si ameikuta hiyo jamii?

Ni hivyohivyo hata CHADEMA ikishinda uchaguzi itakutana na system hiyohiyo.
 
Ikijikwepesha na ikadhibitika haitumiki imani kwa watu itakua kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni vigumu sana ukijenga Imani fulani kwamba kuna watu wasojulikana halafu uifute Imani hiyo katika kipindi kifupi.

Ila usisahau wapo vijana airports, bandarini, sehemu zingine nyeti na hata huko nje kwenye missions zetu.

Hivyo tusiamini tu kuhusu wasokujulikana ilhali tunao vijana katika sehemu zingine wakitekeleza majukumu yao ya kulinda taifa kama kawaida masaa 24 .
 
My wish niende deep kuona how intel na politics zinafanya kazi

Ila hii yetu naona kuna sehemu inavurunda


Na kama inavyosemekana G guards ndo napata mawazo hadi nazeeka
Lakini si zipo different branches na zinafanya kazi.

Zipo za ndani, nje na kwingine ila si zote zinafanya kazi moja tu.

Isitoshe huyo Yohana unaemsema nae si ameikuta hiyo jamii?

Ni hivyohivyo hata CHADEMA ikishinda uchaguzi itakutana na system hiyohiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vigumu sana ukijenga Imani fulani kwamba kuna watu wasojulikana halafu uifute Imani hiyo katika kipindi kifupi.

Ila usisahau wapo vijana airports, bandarini, sehemu zingine nyeti na hata huko nje kwenye missions zetu.

Hivyo tusiamini tu kuhusu wasokujulikana ilhali tunao vijana katika sehemu zingine wakitekeleza majukumu yao ya kulinda taifa kama kawaida masaa 24 .
Nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My wish niende deep kuona how intel na politics zinafanya kazi

Ila hii yetu naona kuna sehemu inavurunda


Na kama inavyosemekana G guards ndo napata mawazo hadi nazeeka

Sent using Jamii Forums mobile app

kuna msemo wasema - "The way political views relate to intelligence may depend on social context"

Iko complex sana yaani ina wigo mpana sana.
 
Iyo nondo itabidi niitafute

Sent using Jamii Forums mobile app

Tuchukulie suala la Tundu Lissu.

Katika "intelligence world" anachofanya Tundu Lissu chaweza kuitwa ni "mind games" hivyo inahitaji busara na hekima kujibu yale anayosema.

Hapo ndipo wale mazee hukaa chini na kudadavua namna ya kujibu mambo hayo kwa ufasaha.

Na nafikiri aliepatia kuanza kujibu kwa njia sahihi ni Spika wa bunge, na umeona kilichotokea baada ya hapo yeye amelenga kwenye kusimamisha malipo ya mshahara wake.

Hiyo ni kwasababu inaeleweka kwamba ukifanya "direct hit in the pocket" unapata "direct effect" na "effect" hiyo imekuwa ni kuanza kuomba michango.

Nafikiri nilileta uzi humu ukishauri kwamba serikali na CCM wasikurupuke kumjibu Tundu Lissu kwani wanafanya makosa.

Nafikiri pia umeshuhudia yalotokea.
 
Tuchukulie suala la Tundu Lissu.

Katika "intelligence world" anachofanya Tundu Lissu chaweza kuitwa ni "mind games" hivyo inahitaji busara na hekima kujibu yale anayosema.

Hapo ndipo wale mazee hukaa chini na kudadavua namna ya kujibu mambo hayo kwa ufasaha.

Na nafikiri aliepatia kuanza kujibu kwa njia sahihi ni Spika wa bunge, na umeona kilichotokea baada ya hapo yeye amelenga kwenye kusimamisha malipo ya mshahara wake.

Hiyo ni kwasababu inaeleweka kwamba ukifanya "direct hit in the pocket" unapata "direct effect" na "effect" hiyo imekuwa ni kuanza kuomba michango.

Nafikiri nilileta uzi humu ukishauri kwamba serikali na CCM wasikurupuke kumjibu Tundu Lissu kwani wanafanya makosa.

Nafikiri pia umeshuhudia yalotokea.
Hii ndo tunasema wamemfichia white
Hahahhahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom