Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Sakata la unyanyasaji wa kijinisia uliotokea kwa mapdre kuhusu watoto wetu limezua mambo mengine Leo hii uko Berlin WANAHARAKATI waanafanya mkutano mkubwa kujadili unyanyasaji wa kijinsia kuhusu watoto wetu mashulen na makanisan...habari zaidi zinasema inawezekana sakata la shulen limeingizwa baada ya kuona mapdre waliokuwa wakiaminika kututendea mambo haya ya kidhalimu na baya zaidi jambo hili lilishapelekwa tangu utawala wa pope john pau 2 lakini vatican wakakalia chini ndipo waungwanana wenye ushahidi wakaliamsha upya...hii ni hatari kwa mamlaka inayoaminika kulinda jamii kukalia maovu kama haya na hivyo kutuweka katika hali ya uoga kwa madada zetu walioamua kuwa masister yawezekana yapo mengi yanatokea juu yao siri yao
Wanaharakati hao wamepanga kuelekea LONDON,PARIS,NIGERIA,MEXICO NA SEHEMU ZINGINE kuhimiza haki zawatoto hasa wanapokabidhiwa kwa mamlaka yenye kuaminiwa na kufanyiwa uharamia........
Wakati huohuo sakatala unyanyasaji wa watoto limechukua sura mpya baada ya jana mapadre 3 wa kijermani kuomba ku resign na kukubaliwa na pope kwa kukiri makosa juu ya watoto...
Mungu aturehemu ......haya ndio makanisa ya wazazi wetu sijui tukimbilie wapi sasa???
Wanaharakati hao wamepanga kuelekea LONDON,PARIS,NIGERIA,MEXICO NA SEHEMU ZINGINE kuhimiza haki zawatoto hasa wanapokabidhiwa kwa mamlaka yenye kuaminiwa na kufanyiwa uharamia........
Wakati huohuo sakatala unyanyasaji wa watoto limechukua sura mpya baada ya jana mapadre 3 wa kijermani kuomba ku resign na kukubaliwa na pope kwa kukiri makosa juu ya watoto...
Mungu aturehemu ......haya ndio makanisa ya wazazi wetu sijui tukimbilie wapi sasa???