- Thread starter
- #101
Mbona wengine hatukiffahamu? Au ni chama cha kwenye mitandao ya kijamii?
Wako kwenye mitandao Na TBC!
Hata kigoma nyumbani kwa mwenyekiti wao mtarajiwa wamekataliwa!
Mbona wengine hatukiffahamu? Au ni chama cha kwenye mitandao ya kijamii?
Hahahaha nyie misukule mbona mnaweweseka sana?Leo hii Cuf iekuwa sio ccm B tena?
Nami nilikuwa cdm sasa naichukiya xcdm tena sana madicteta weusi nyiye
Mnajificha kwa wananchi ilhali nyiye wabaya kweli
Tutaona 2015 siombali
huyu tayari kisha jiunga ATC maadamu alikuwa cdm, sifa pekee ya kuupata uanachama ACT ulikuwa nayo.huo ubaya sijui ulimahanisha wa sura!???, lakini ukirudi huku mtaani maisha yana tukoboa bila kuangalia mzuri na mmbaya vinginevyo nawewe utakuwa unatoka kwenye ukoo wa wale wanao nunuliwa hata chu.pi kwa kodi za wana nchi na bado waka "dhubutu na kuweza" kula bila kunawa. bai ze wei, nasikia kuwa mwezi wa 9 umeme utapanda kwa % 41.7, ni kweli?Nami nilikuwa cdm sasa naichukiya xcdm tena sana madicteta weusi nyiye
Mnajificha kwa wananchi ilhali nyiye wabaya kweli
Tutaona 2015 siombali
Chama chochote cha siasa lengo lake ni kutwaa dola. Lakini inaonekana dhahili kwamba ACT lengo lake ni kupambana na vyama vya upinzani hasa hasa kupambana na CHADEMA!-
Dada, hongera kwa mapambano. Nami nimekuja kuungana nanyi dhidi ya hawa waliberaliAct walivyokuja na neno "Unyerere" tu nikawaona kuwa hawafai kabisa. Na ni "opportunists" tu.
= dhahiri
nani anakifadhili????? au ndio pesa zake zinapitia fbme??
Weka picha hapa
Act walivyokuja na neno "Unyerere" tu nikawaona kuwa hawafai kabisa. Na ni "opportunists" tu.
Kila kuchao utasikia 'kutakuwa na Mkutano Mkubwa Wa ACT... mahala fulani'
ACT imepata aibu, Kigoma ikiwa ndio ngome yake kuu, inasikitisha kuona mahudhurio kidogo kiasi hiki.
Inaonekana wananchi wameshashitukia dili; ACT ni ajenti wa CCM. Hata kwenye huu Mkutano Wa kigoma jana 23.07.2014, Na mikutano iliyotangulia kazi kubwa ni kushambulia CHADEMA. Huu ni mkakati wa ajabu kwani CHADEMA si Chama tawala. Matatizo ya nchi hii kwa wananchi hayatokani na CHADEMA. Yanatokana Na uongozi mbovu wa Chama tawala.-
Chama chochote cha siasa lengo lake ni kutwaa dola. Lakini inaonekana dhahili kwamba ACT lengo lake ni kupambana na vyama vya upinzani hasa hasa kupambana na CHADEMA!-
Kwa maana hiyo ACT imejiweka wazi lengo lake na kirefu chake sahihi ni Alliance for Conspiracy and Traitors Au Alliance of Cowards and Traitors kwani tumeeendelea kushuhudia wasaliti, waoga na wala njama wakiendelea kurubuniwa kujiunga na chama hiki ili kuendelea kurubuni viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani.
Shame on you ACT Na umamluki wenu
Hicho ni chama cha Jf
AcT ndio kitu gani...Upuuzi mtupuuuuuuuuuuuu
mmh ccm ni janga