Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

Hahahaha nyie misukule mbona mnaweweseka sana?Leo hii Cuf iekuwa sio ccm B tena?
Taarifa ya kuaninika ACT ni back up ya Njama za CCM kuua Au kudhoofisha nguvu ya CHADEMA Na CUF. Na mwenyekiti wake ni Zitto, sasa hivi anaongoza kwa remote
 
Mtoa mada hajatoa hata picha kuonyesha jinsi watu walivyokuwa, sasa tutaamini kwa maelezo ya kutengeneza!!! Tafadhari tunaomba uweke picha za mikutano hiyo.
 
ACT-TANZANIA!! inawafanya mkose hata usingizi!! Chama ambacho kina miezi miwili tangu kipate usajiri wa kudumu,hii ni ishara nzuri jinsi chama cha ACT kinavyokubarika na kuumiza vichwa ya vyama ambavyo vimepoteza uelekeo!"" Na Bado.
 
Kwa sababu ni mamluki waliokubali kutumiwa na wahuni, majangili, magaidi, wauza unga na mafisadi wa MACCM ili kuisambaratisha CHADEMA kazi ambayo MACCM imewashinda.

A.C.T imewabana hadi haja kubwa zinawagonga vyupi zinarudi, na bado. Hakuna rangi mtaacha kuona wahuni nyie
 
Chadema inamiliki magenge ya wamwagia watu tindikali na walisha sumu...ilaaniwe
 
A.C.T imewabana hadi haja kubwa zinawagonga vyupi zinarudi, na bado. Hakuna rangi mtaacha kuona wahuni nyie

Hasa mafisadi wa serikali ya CCM wanaobaka rasilimali zetu na kukwapua kodi zetu kihuni lazima ACT iwatoe madarakani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ACT-TANZANIA!! inawafanya mkose hata usingizi!! Chama ambacho kina miezi miwili tangu kipate usajiri wa kudumu,hii ni ishara nzuri jinsi chama cha ACT kinavyokubarika na kuumiza vichwa ya vyama ambavyo vimepoteza uelekeo!"" Na Bado.

Mwl.kaijage mbona unatokwa na povu sana?
 
ACT-TANZANIA!! inawafanya mkose hata usingizi!! Chama ambacho kina miezi miwili tangu kipate usajiri wa kudumu,hii ni ishara nzuri jinsi chama cha ACT kinavyokubarika na kuumiza vichwa ya vyama ambavyo vimepoteza uelekeo!"" Na Bado.

Tunasubiri kuiona ACT ikiwatoa CCM madarakani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nawe jiulize hiv kwann misukule hamlali bila kumtaja zzk midomoni mwenu?yan mkiamka tu kabla yakusafisha vinywa vyenu mnaaza na zitto,mkitoka kunya bac kabla hamjavaa pichu zenu mmeshamtaja zitto yan popotemwendapo akili zenu ni kumuwaza zitto.Nyie simlimfukuza mkadhan ndo mmemkomoa?Sasa povu la nn?
Kwa nini uniite msukule..kama huwezi jibu pita ..au piga kimya..
 
Kwa sababu ni mamluki waliokubali kutumiwa na wahuni, majangili, magaidi, wauza unga na mafisadi wa MACCM ili kuisambaratisha CHADEMA kazi ambayo MACCM imewashinda.
wangejua wanachofanya ni kuiongezea chadema umaarufu na wafuasi makini..maana naona wanachukua wasaliti na masalia tu..
 
Laana ya kumwagia watu tindikali itaiandama chadema hadi kifo chake rasmi mwakani
 
Mamluki hawa hawana future, viongozi wanajificha nyuma ya pazia na hapa jamvini debe wanapigiwa na Buku 7 kwa maagizo toka Lumumba!!! Waambie wakajipange upya na wajue CHADEMA siyo adui zao bali adui zao ni MACCM.

A.C.T imewabana hadi haja kubwa zinawagonga vyupi zinarudi, na bado. Hakuna rangi mtaacha kuona wahuni nyie
 
Kwendeni zenu wapuuzi wa act, sijui kifungu gani cha sheria, kwani Akina Mchange na vikaragosi vingine vinatumiwa na ccm via zzk, chadema ni Institution kubwa sana haijajengwa na zzk, bali hata kgm kwake ilimshinda
 
Back
Top Bottom