Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

Mtoa mada hajatoa hata picha kuonyesha jinsi watu walivyokuwa, sasa tutaamini kwa maelezo ya kutengeneza!!! Tafadhari tunaomba uweke picha za mikutano hiyo.
Kama unazo zinazoonyesha mikutano iliyosheeni watu tupia hapa uongo ujitenge na ukweli,tusiandikie mate mjomba.
 
Hao Ni wavuvi wa migebuka tu hakuna chama hapo. Zitto boss wao alikuwa anampa Dr Kitila laki mbili wakati kachukia bilioni, huu ni ubazazi.
 
Mwl.Kaijage, pambana tu ndugu yangu na naona unao mashabiki kweli kweli kutoka upande uleee! Ila kumbuka tu usemi huu, your enemy's enemy is your friend and so your enemy's friend should automatically be your enemy!
 
Dr akili zao hawa ACT ni finyu, wanadhani CHADEMA ndio iko madarakani. Chama hakina future hiki wataishia kutangatanga kisha wote kujiunga na Maintarahamwe.

Tunasubiri kuiona ACT ikiwatoa CCM madarakani
 
hili swali halijapata jibu..hivi kwa nini act wanaishambua chadema.?!

ona maswali ya watu makini!

kinachonichanganyau wapambe wa ccm ndio haohao wapambe wa act,kiasi nashindwa kutofautisha wapi ccm wapi act.

chama cha waha tupu. Kabla hata ya uchaguzi washasema m.kiti anatoka kigoma na ni muha. Je hapo kuna chama au ni saccos ya waha a.k.a actaha. Waliyojifanya wanayakimbia ndo wanayatenda kuliko huko walikotoka. Ptuuuuuuuuuuu, tz kila upuuz unawazekana. Mimi katika maisha yangu huwa simwamini mhaha ni vijeujeu na wasaliti wabinafsi wapenda sifa mno.
umeniwahi mkuu... Hili ndilo swali nililotaka kuuliza na mimi.

bado nafanya utafiti sijapata jibu kwamba ni kwanini wanaccm walio wengi wanaipenda na kuishangilia sana act hasa wafuasi wa ccm mitandaoni!!!!!

talk of chama cha ukanda.....hiki ndo chama cha ukanda haswa.

Chama kipo kigoma tu baaaasiiii.
!
 
ACT ni nyumba ndogo ya CCM!
Unajua mkuu...ACT imekufa kabla hajaanzishwa..ila cdm wasingewastukia zito, mwigamba na kitila sijui ingekwaje..?! Mungu mkubwa sana..
 
Chadema kweli ACT imewafanya muwe kama machizi kila Bavicha anakuja na drama zake.

A.c.t ndio tumaini pekee la watz

ACT-TANZANIA yafanya kufuru kwa mikutano yake,Watu wengi wajitokeza na wachukua kadi kwa wingi katika wilaya ya Kasulu,

Acheni uoga ndugu zangu wa CDM.
"Adui mbaya ni yule rafiki yako usiyemfahamu ila adui unayejitangaza na kumfahamu ni rahisi kuwa rafiki yako na adui wa adui yako ni rafiki yako" wazeni positive wazee kuhusu ACT ndugu zangu

ACT ni nyumba ndogo ya CCM!

zitojimana kabwelagimana ni mhutu mnabisha?!
 
Mission ya ACT ni kupambana Na vyama viwili; CHADEMA Na CUF, Na hasa CHADEMA kwa sababu ilionekana CUF haikuwa Na nguvu sana. Sasa hivi UKAWA iko kwenye list

ACT=Ant Chadema Tanzania
 

Attachments

  • 20140719_162152[1].jpg
    20140719_162152[1].jpg
    198.4 KB · Views: 167
ACT-TANZANIA yafanya kufuru kwa mikutano yake,Watu wengi wajitokeza na wachukua kadi kwa wingi katika wilaya ya Kasulu,

Eti nawe ni mwalimu?, ni wa mpango gani maana hata wa crash-program hawezi kutoa hoja hafifu kiasi hiki! shame on you mwl!pq
 
Chadema kweli ACT imewafanya muwe kama machizi kila Bavicha anakuja na drama zake.

Ukiona chama kinapinga upinzani ujuwe ni chama tawala, act kimedhihirisha kuwa ni tawi la ccm
 
Back
Top Bottom