mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
Jana ilitangazwa kufanyika kwa mkutano wa CCM ukiwa na niya ya kuelezea mafanikio ya ilani. Taarifa ilikuwa huo mkutano ungeanza saa 5 asubuhi. Matokeo yake hadi saa 7 hii hakuna watu hapo uwajani. Na mkutano ilitakiwa ufanyinge katika uwanja wa mpira maili moja Kibaha.
Kuna wanachama wachache waliotoka mikoa jriani kama Dar ambao wanazunguka zunguka tu huku wengine wakiwa karibu na vibanda vya karibu kujipatia vinywaji.
Nawasilisha.
Kuna wanachama wachache waliotoka mikoa jriani kama Dar ambao wanazunguka zunguka tu huku wengine wakiwa karibu na vibanda vya karibu kujipatia vinywaji.
Nawasilisha.