Mkusanyiko wa matukio ambayo yameshawahi nitokea

Mkusanyiko wa matukio ambayo yameshawahi nitokea

Mkuu endeleza aseee hako kastory katam kweli[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
BEFORE KUFIKA HAPA NILIPO (VIMBWANGA VYA ULINZI USIKU)

Bhanaaa hiiii dunia ina wababe sanaaa, ukiwa mjanja katika harakati za maisha biashara, shuleni, nguvu , kipesa , mamlaka n.k ila kuna wajanja na wababe sekta zingine.

Katika purukushani na hustling, niliamshwa sehemu katika maswala yetu haya ya kazi.

Kama ilivyo ada, muda wa silaha kuchukua ukafika, nikasonga eneo la tukio na kuchukua mzigo full loded (njugu 30).

Tukaanza kuimalisha ulinzi wa mipaka ya kituo na mazingira yanayo zunguka.

Ilifika usiku kila mtu alikuwa hana amani siku hiyo, maana zilisikika sauti zinatokea njia ya moja kwa moja ( eneo makini). Hakuna mti wala chochote katika njia hiyo, lakini wazungumzaji hawaonekani.

Tulikuwa gizani muda wote, hapo tunaweza kuona vitu kwa clear kabisa na watu hawawezi kutuona kutokana na mavazi n.k

Lakini hapo tulifeli kuona watu hao, huku wakiongea kwa kujitutumua kuwa wanakuja upande wetu kutuonyesha watala wa usiku ni wakina nani.

Baada ya muda kidogo, wenzangu naona wakalala wote, lakini mimi usingizi hautaki kuja, amani hakuna hata nusu.

Sauti zile zilipo karibia usawa wa gizani zilikata . Nilichoamua, nikasema hiii ni game ngoja tuicheze, zikisikika nitazijibu nione mwisho wake.

(Baada ya dk kama 15)...Zilisikika, wenzangu nawashtua hawashtuki, eti kamandaaaa leo tuone ukamanda wako (hiii ilikuwa sauti kike ikisema na sonyoo hatari).

Nikasema hawa hawajaja na lengo la kuniua ila kucheza na akili yangu tu, ngoja twende sawa, nikaenda kwenye taaa.

Nikatukana, nikasema ukitaka kuona ukamanda jitokezeni nirengeshe kilengeo , ebwanaaa. Dk 5 nyingi nilianza ona mwili unaisha nguvu hatari nikakaaa chini, huku kwa mbali naona mtu anahangaika kuvuta silaha yanguu , halafu anacheka, image yake niliona kwa mbali sana , tulikutana asubuh niliona mtu anakwepa nilihisi yule yule.

(Inshort ni hiii nilisumbuka sana night)

USIKU HUUU WAO NDIO WALISANDA SANA.

Hapa tukiwa eneo la ulinzi, tuliwahi kamaat mara mbili watu tuliojiaminisha kuwa washirikina.

1. Tukiw ulinzi sehemu ya ghala la silaha, mida usiku mnene, tuliona kitu kinatua uwanjani, na mtu anatoka na mizigo yake, haeleweki, toa usalama, koki silaha tukamweka chini ya ulinzi.

Alikuwa kapigwa butwaaa muda wote huyu mama.

Kumuhoji, ni nani ,katoka wapi, anafanya nini pale.

Maelezo mengi aliyatoa kwa doso, ila inshort alikuwa anatembea kukusanya damu kwa watu walio katika vituo vya ulinzi na sehemu zingine.

Huyu alikula kazi usiku kucha hadi asubuhi.

HIZI KAZI ZINA RISK SANA.


2. Katika ulinzi, eneo limezungukwa na mageti na fensi sehemu nyingi, lakini, tulishangaaa kuona maza mmoja anaishia kwa mbaali anaondoka kutoka katika zizi la ng'ombe.

Kuhoji anasema katoka hospital kapita wapi hasemi, mavazi hayasomeki.

After kumlish mzigo alisema anatembelea sehemu zenye mifugo anachukua maziwa , anafanyaga hivi.......


Nitakuja na kufeli kwangu, na majanga yaliyo nikuta kuyaona kwa wenzangu..........
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] .......

Kuna vitu, ume vihitimisha tu mkuu bila kuwa na data za kutosha.
Ni sawa watu walioamin watu weupe ni laini na mdebwedo halafu walipo kutana kwenye medani za vita, kilicho wakuta hawasahau.

Ahsante mkuu
Hiyo Avatar Siyo Ya Yule Askari Wa JWTZ Aliefariki Kwenye Mission Za Nje Ya Nchi ?
 
Haaaa mkuuu, kwani nimesem nilimtafuna.

Nilikuwa naenda kupiga story tu[emoji85] [emoji85].

Hivi unajua mchawi ngumu kumjua, inawezekana mkuu umetoka nao sana au still unatoka hadi sasa[emoji23] mshana jr anaweza kukujuza more,
Kuna Rafiki Yangu Mmoja Alikuwa Anachukua Demu Kumbe Mama Yake Mchawi, Mshkaji Akawa Anaogopa Balaa. Tukaenda Kutafuta Ushauri Kwa Jamaa Fulani Akatuambia, Kila Siku Mchana Mida Ya Saa 7 Au Nane Mkimwona Huyo Mother Mchawi Cha Kufanya Ni Kutoa Panga Nje Then Unalinoa Na Kulianika Hapo Nje Akiwa Anashuhudia - Tukafanya Hivyo. Tangu Hapo Huyo Mother Akawa Anatuogopa Balaa Na Tukawa Tunaishi Kwa Amani. Hapo Ndo Nikajua Dawa Ya Mchawi Ni Panga Tu.
 
BEFORE KUFIKA HAPA NILIPO (VIMBWANGA VYA ULINZI USIKU)

Bhanaaa hiiii dunia ina wababe sanaaa, ukiwa mjanja katika harakati za maisha biashara, shuleni, nguvu , kipesa , mamlaka n.k ila kuna wajanja na wababe sekta zingine.

Katika purukushani na hustling, niliamshwa sehemu katika maswala yetu haya ya kazi.

Kama ilivyo ada, muda wa silaha kuchukua ukafika, nikasonga eneo la tukio na kuchukua mzigo full loded (njugu 30).

Tukaanza kuimalisha ulinzi wa mipaka ya kituo na mazingira yanayo zunguka.

Ilifika usiku kila mtu alikuwa hana amani siku hiyo, maana zilisikika sauti zinatokea njia ya moja kwa moja ( eneo makini). Hakuna mti wala chochote katika njia hiyo, lakini wazungumzaji hawaonekani.

Tulikuwa gizani muda wote, hapo tunaweza kuona vitu kwa clear kabisa na watu hawawezi kutuona kutokana na mavazi n.k

Lakini hapo tulifeli kuona watu hao, huku wakiongea kwa kujitutumua kuwa wanakuja upande wetu kutuonyesha watala wa usiku ni wakina nani.

Baada ya muda kidogo, wenzangu naona wakalala wote, lakini mimi usingizi hautaki kuja, amani hakuna hata nusu.

Sauti zile zilipo karibia usawa wa gizani zilikata . Nilichoamua, nikasema hiii ni game ngoja tuicheze, zikisikika nitazijibu nione mwisho wake.

(Baada ya dk kama 15)...Zilisikika, wenzangu nawashtua hawashtuki, eti kamandaaaa leo tuone ukamanda wako (hiii ilikuwa sauti kike ikisema na sonyoo hatari).

Nikasema hawa hawajaja na lengo la kuniua ila kucheza na akili yangu tu, ngoja twende sawa, nikaenda kwenye taaa.

Nikatukana, nikasema ukitaka kuona ukamanda jitokezeni nirengeshe kilengeo , ebwanaaa. Dk 5 nyingi nilianza ona mwili unaisha nguvu hatari nikakaaa chini, huku kwa mbali naona mtu anahangaika kuvuta silaha yanguu , halafu anacheka, image yake niliona kwa mbali sana , tulikutana asubuh niliona mtu anakwepa nilihisi yule yule.

(Inshort ni hiii nilisumbuka sana night)

USIKU HUUU WAO NDIO WALISANDA SANA.

Hapa tukiwa eneo la ulinzi, tuliwahi kamaat mara mbili watu tuliojiaminisha kuwa washirikina.

1. Tukiw ulinzi sehemu ya ghala la silaha, mida usiku mnene, tuliona kitu kinatua uwanjani, na mtu anatoka na mizigo yake, haeleweki, toa usalama, koki silaha tukamweka chini ya ulinzi.

Alikuwa kapigwa butwaaa muda wote huyu mama.

Kumuhoji, ni nani ,katoka wapi, anafanya nini pale.

Maelezo mengi aliyatoa kwa doso, ila inshort alikuwa anatembea kukusanya damu kwa watu walio katika vituo vya ulinzi na sehemu zingine.

Huyu alikula kazi usiku kucha hadi asubuhi.

HIZI KAZI ZINA RISK SANA.


2. Katika ulinzi, eneo limezungukwa na mageti na fensi sehemu nyingi, lakini, tulishangaaa kuona maza mmoja anaishia kwa mbaali anaondoka kutoka katika zizi la ng'ombe.

Kuhoji anasema katoka hospital kapita wapi hasemi, mavazi hayasomeki.

After kumlish mzigo alisema anatembelea sehemu zenye mifugo anachukua maziwa , anafanyaga hivi.......


Nitakuja na kufeli kwangu, na majanga yaliyo nikuta kuyaona kwa wenzangu..........



Mkuu mbona huendelei??
 
Kuna Rafiki Yangu Mmoja Alikuwa Anachukua Demu Kumbe Mama Yake Mchawi, Mshkaji Akawa Anaogopa Balaa. Tukaenda Kutafuta Ushauri Kwa Jamaa Fulani Akatuambia, Kila Siku Mchana Mida Ya Saa 7 Au Nane Mkimwona Huyo Mother Mchawi Cha Kufanya Ni Kutoa Panga Nje Then Unalinoa Na Kulianika Hapo Nje Akiwa Anashuhudia - Tukafanya Hivyo. Tangu Hapo Huyo Mother Akawa Anatuogopa Balaa Na Tukawa Tunaishi Kwa Amani. Hapo Ndo Nikajua Dawa Ya Mchawi Ni Panga Tu.
Hahahah mkuuu, usije kutana na wanaaa ikawa kinyume.

Unatangaza vita harafu ni mwepesi
 
FIRST TIME KWENDA KWA MGANGA.

Life nililoishi nilivyokuwa chimbo lilikuwa la udadisi sana. Nikawa nina jifanya siamini huwepo wa taaluma hizi za yasiyo onekana, ili niweze sikia mengi na hata kuona.

Lakini huwepo wake naujua fika maana baadhi niliwahi yaona n.k.

Sasa huku hayo madude ni jambo la kawaida sana huku , ni ishu ya kuwaiana tu. Waki kuwahi tu, umepotea.

Mtu kukucheki tu na kujua mengi kuhusu wewe ni taaluma ya kawaida na wengi wanaifanya na kuhifahamu vijana wengi tu hata wale chini ya 18, ambao shughuli zao rasmi si uganga wanaweza kufanya mengi.

Basi nilipata rafiki, akaamua kunionyesha mengi sana. Ila kuna siku akanambia ntakupeleka home kwetu kwa mzee ukae tu nje huweze kuona kazi zinazofanyika.

Yeye mwenyewe aliwahi nipa demo, akanambia nimpe majina yangu halisi kishaa akanza kunambia mengi kunihusu, nilistaajabu nikasema nataka kuona watu wanavyo hangaika na hizi ishu .Maana huku kidogo tu watu wanapiga dumba.


AKANIPELEKA KWAO.

Baada ya mizunguko yetu, akanambia twende home leo. Ofisini kwa dingi yake.

Mandhari ya pale, kulikuwa na

1.Pazia lililochoka Jekundu (kuu kuuu na chafu kidogo)

2. Mafundo ya kamba zilizo ninginzwa pale njee mengi mengi tu, pande mbali mbali.

3.Kitambaa cheupe juu sehemu moja, na tunguli pale mlangoni.

Na vitu vingine tu. Sikupata kusikia nyanga wala watu wakiimba kama ninavyoonaga katika bongo movie.

Kilichonifanya nifatilie kwa umakini ni tukio moja. Alienda sista mmoja na gari yake imepaki njeee. Alikuwa kapikwa aiseee, na mtu anaejiweza tu kiuchumi.

Kulingana na yalio endelea niligundua kuwa yule nilimkuta hapo alikuwa anasubiri vitu vilivyo fukiwa na wabaya wake vivutwe kwenye mitego iliyo wekwa na mtaalamu huyo.

Siku hiyo ndio vilitolewa, kwa mujibu wa sauti iliyokuwa ndani, na watu wengine, akiwepo msaidizi na mtaalamu mwingine ambaye alikuja hapo na wateja wake baada kuona kazi ilimzidi nguvu akaenda kuomba sapoti. Walisema wayapoze hayo madude waliyo yavuta.

Yalitolewa nje, matunguri makubwa 4, yakiwa yamepakwa unga mweupe, na yule mtaalam kuja kuyafungua hadharani.

Alichukua majani fulani akawa kama anapekecha kwenye maji ili apunguze nguvu zaidi.

Hapo ndio ilikuwa mtiti, watu wote pale, si wateja wala mganga aliyekuja kuomba sapoti walipandisha madude yao baada ya kuona mzgo hule.

Ilianza kutolewa pembe, ndani ilikuwa na paka aliyeoza kabisa (iliwekwa muda mrefu sana) , machupa mengine ya maji yenye madawa ya ajabu ajabu.

Inshort lile lilikuwa pigo kubwa sana , yule mtaalam fasta alichukua kuku mwekundu akachinjwa damu ikamwagiwa yale madude kila kuku kutupwa huko , ikifatiwa uvunjaji wa nazi na mambo mengine.

Inshort yalikuwa mengi niliyoona siku hiyo.

Kazi ikabaki kupooza hao waliopandisha, maana kuna yule mganga alipandsha akawa analeta utata, bato la kutulizana na msaidizi mganga wa pale kushikana kwa nguvu.

Kama ni tamthiliya vile.

Siku hiyo niliyaona mengi sana, ila hatari zaidi yalianza kutokea.

Most interesting ilikuwa kukutana na kijana fundi hatari wanamwita Manyoka, huyu msikie tu.

Nikitulia nitawajuza kuhusu huyu.

[HASHTAG]#uchawi[/HASHTAG] upo sana tu#
 
UCHAWI NA UGANGA UPO NA HALISI.

Ukiachia mbali kutajwa na kuzungumziwa katika vitabu vitakatifu, uchawi na uganga upo na vinafanya kazi. Watu wengi wamekuwa hawaamani kwa kuwa hawaja shuhudia kwa macho yao au kukumbwa na matukio ya dizain hiii.

Pia wengine wameshindwa kuamin baada kujaribu kupita kwa waganga kadhaa kujaribu kurekebisha mambo yao na kutokufanikiwa. Hiii hutokana na

i. Kukutana na waganga feki
(matapeli, wapigaji)

Hapa kuna wimbi la watu wapigaji, ambao wanajua tu ABC za uganga lakini si wataalamu. Wanajenga tu vilinge vyao, matangazo kibao, ila lengo lao wapate tu fedha katika kudanganya n.k

Hawa kuwajua ni rahisi tu cheza na saikolojia yao. Ukienda kwao wataanza maswali mengi na kukudadisi sana, kuwakamata waambie nimekuja kucheki mambo yangu, then sikilizia mwitikio wao.

Wanatumia akili sana wakati maswala hayo yapo rohoni zaidi. Asilimia kubwa wapo mijini.

ii. Tatizo kuwa zito kuliko huwezo wa mganga ,ambaye amekuwa hataki kusema ukweli kuwa haliwezi, ila anasumbua sumbua tu, na ku buy sometime. Hapa ataanza kuhangaika kupata njia ingine na kukupiga hela nyingi mwisho wa siku hadi ukate tamaaa.

Lakini wale wa kweli wanajuana kwa uwezo, endapo akiona hayupo vizuri kwenye hilo jamboa, atakuchukua na kukupeleka kwa mwenzie fundi zaidi, lengo ni tatizo lako liishee.

iii. Mganga kutuliza tatizo tu badala ya kuondoa mzizi wa tatizo kutokana na maamuzi binafsi ya mganga, ili muhsika aendeleee kumtegemea na kumchangia zaidi.


Haya mambo yapo nimeyashudia yakitokea sana kwa nyakati tofauti tofauti. Ilikuwaje??

Nilipokuwa katika mihangaiko na kufanya mambo yangu nje ya miji, nilipataga rafiki yangu, ambaye aliwahi nihadisia hizi harakati na nikawa siamini, akanipeleka nikaone mzee wake akiwa ana tibia watu. Baadae kupitia huyu rafiki yangu alinipeleka kwa jamaa yake mmoja (MANYOKA)

Hilo jina la manyoka amepewa tu sio lake, kapewa kulingana na anayo yafanya. Kazi maalum huyu jamaa ni biashara. Kwanin ameitwa MANYOKA?

Huyu jamaaa anakamata sana nyoka wakubwa na wadogo, wenye sumu na wasio na sumu, ana kamata na kuwafuga ndani. Nikisema wakubwa nazungumzia wakubwa haswaaa, wenye futi kuanzia kumi na kuendelea, wenye sumu kali. Mfano NYIKA, hapa ndipo akipata hilo jina.

Katika hatua za kuwakamata hung'atwa sana na nyoka, lakini hazina madhara kwake, na nyoka hawa, hawatoi meno wala sumu anafuga hivi hivi. Hiii sio movie wala hadithi ni kitu nilichoona.

Haya matukio yamefanya watu kumuogopa, hakuna anaemzingua huyu. Hata wazee vigagula wanamuogopa hatari jamaaa.

Watu wakikutana nae porini huko, kavaaa traki yake nyeusi, watu wanasepa porini wanajua jamaa kaenda kukamata mijoka......Twende upande wa pili wa huyu jamaaa.

Kasaidia watu wengi sana ishu nyingi mno na akanipa story nyingi kuhusu hawa waganga. Alicho nijuza , ukiona mganga ana kimbilia kuchanja chale watu huyo either ni feki au huwezo mdogo tu, maana hata wachawi wakitaka kufanya madhara sio lazima waje wakuchanje.

Mganga kukuhoji maswali mengi anatafuta njia na kupata maelezo ya kukushika akili tu. Nikamuliza sasa utajuaje matatizo ya mtu kama haja ku brief , alicho nijibu unaweza kuwa kamanda lakini husiwe jasiri, ikitokea siku akaja mtu mwenye shida nitakuita huje huone inavyokuwa........

(JIONI NITAKUJA KUENDELEZA SIKU NAITWA KUSHUHUDIA ILIKUWAJE....)

N.B

Uganga na uchawi vipo jenga imani kwa The almight......MUNGU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom