Poa mkuu, usisahau kunitag
Kuna baadhi ya story nikiziweka humu, naweza kuonekana nazitunga, ngoja nitupie zile za kawaida kawaida tu mzee.
Basi katika harakati za mtu mweusi, kuna msimu nilikutana na majanga sana, aiseee. Nikasema nini hiki kinanitokea katika maisha yangu. Nakosea wapi, na hii ndio misimu ilinufanya nianze kujua waganga, uchawi, kujua ndumba. Kuzifanya ndumba, misimu hii ilifanya niwajua ma Sheikh, wataalam wa visomi, nilifika stage nilijifunza hata kujua kumcheki mtu rohoni.
Kuangalia vitukio vya zamani, kupiga vi ramli,yaani mimi mwenyewe. Msimu huu ndiio nilimjua MUNGU wa kweli pia.
Nashangaa humu, watu wanavyo komaaaa kutaka kufanya ndumba, kuwajua waganga, huwa mawafata PM, nawapaga ABC wafungue macho.
Kifupi ukitaka ku deal na tatizo la uchafu la majani unao mwagwa na tawi la mti, piga shoka moja ,katika tawi. Utakuwa umeondoa usumbufu wa majani 1000 katk hilo. So usiangaike na majani. Tuendeleee na story.
Kipindi hiko, na play hero. Nilikuwa ktk sinto faham na kamanzi flani, tukawa katk mitafaruku, lukuki sana. Tuna solve hivi linakuja lile, nasumbuka sana usiku na ishu za giza,. Kuna wajinga wanaharibu kiti huko, naonekana mimi. Ma sooo yote mimi, hayo ni kwa uchache tu na mengine mengi ambayo ni personal mno siwezi andika hapa.
Sasa kwa vile ni bush, nikasema ngoja nisake manzi mwingine wa kumalizia hasira, kupunguza huuu upepo. Maana bad energy itaondolewa kwa engery, katk mingo. Nilikutana na manzi mkali sana aisee.
Alikuwa mzuri, white flan hivi isiyokela. Smooth skini, na masifa yote uyajuaayo. Nikasema huyu ndo huyu.
Kwa ujanja wote, sikutaka kuingia kichwa kichwa, nikaset mipango nifanye research juu ya huyo mtu, usije ingia anga za wachaw ukajuta.
Tafita ikatoa majib, mazuri 85+% , wanasema dogo yupo vzuri na kwao sio ndumba, ila dingi yake mtata, dogo analelewa ushuani, fence nene.
Kule bush, wajanja wa swagg zile wa kumuingia dogo wachache, wengi wanajitutumua na mkwanja. Nilikuwa na catch up faster na ku msoma mtu na kwenda ktk masafa yake.
Basi ikatokea kuelewana, manzi akanielewa, though mwanzo alikuwa na madharau mno. Baadae nikawa ni mtu wa kumchomoa night.
So, alikuwa hanaga simu, signal tuliyokuwa tunapeana ni pale nje kwao kuna kamba. So nikiwa around naenda kufunga nailon au kichupa cha juice anajua nipo around naruka naye.
Mchezo ulidumu kwa wiki kadhaaa, nilikuwa simpeleki mbali, nilikuwa JUNGLE Man, pale kwao kuna shimo. Lilikuwa halitumika, tulikuwa tuna vunja umbo humo[emoji86][emoji86], ( UJANA BANA).
Hata mtu akitoka nje haona watu wamesimama maana tunakuwa chini. Nikasema hii sio ishu ntaruka naye ghetto. Thou kutoka kwao hadi ghetto ni kipande na usiku
Siku ikafika, nikamuuliza ushawi tembea usiku, LEO NTAKUPA ADVENTURE AMBAYO HUJAWAHI PATA. pita naye porin, anaogopa, nikambeba mzeee.... Naji mwambafy tu, anajiona hili na hili body yupo na protector, ukicheki na zile story zangu za mtaani.
Ikawa ndii mchezo, naruka, naye, namrudish around saa tisa hivi, harakat zinginr ziendeleee. Ilikuwa kila wiki mara mbili au moja hizi mishe till siku alipokosekana room.
Namrudisha kwao, kumbe bhana walikuwa wanamsubili aludi.
Banwaaaa sanaaaaaaa...........
Mambo yalikuwa mengi mno.
Sent from my A1601 using
JamiiForums mobile app