huyu kailima uchaguzi atailima tena safari hii wananchi hawana imani nayeMkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) atakua live ndani ya TBC katika kipindi cha Jambo Tanzania hapo kesho tarehe 17 Mei,2024. Tukamsikilize
View attachment 2991869
kala uteuziAmepatikanaje?
Hawa machawa wamegeuza nchi kuwa kama kichwa Cha mwendawazimu, wananyoa tu watakavyoMkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) atakua live ndani ya TBC katika kipindi cha Jambo Tanzania hapo kesho tarehe 17 Mei,2024. Tukamsikilize
View attachment 2991869
Umesema kweli mwamba!Hatakuwa na jipya huyu. Ni chawa wa ccm.
Kimchongo tu kama kawaida sifa kubwa ukada wa CCM.Amepatikanaje?
Sura yake imekaa kitapeli tapeli, na sura modeli hii ni nyingi sana huko CCM.Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) atakua live ndani ya TBC katika kipindi cha Jambo Tanzania hapo kesho tarehe 17 Mei,2024. Tukamsikilize
View attachment 2991869,
Hivi kuna watu mpaka leo wanaangalia TBC!Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) atakua live ndani ya TBC katika kipindi cha Jambo Tanzania hapo kesho tarehe 17 Mei,2024. Tukamsikilize
View attachment 2991869
Wacha we! Kajipa nafasi ya ukurugenzi wa tume huru? Mwambie, wajumbe na wakurugenzi wa tume huru ya uchaguzi hawajateuliwa na mchakato wa kuwapata bado haujafanyika.Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) atakua live ndani ya TBC katika kipindi cha Jambo Tanzania hapo kesho tarehe 17 Mei,2024. Tukamsikilize
View attachment 2991869