Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,630
- 11,975
Waliokuwa wamekaa nyuma ukute walikuwa hawajafunga mikanda! Haya makitu wakati mwingine huwa yanasaidia sana ingawa vilevile mara moja moja wanaweza kukunyonga. Kwa dereva na wa nyuma yake ilikuwa hakuna jinsiTaarifa ya ajali Manyoni, Singida.
Jamani hii ajali mbaya nimeishuhudia nipo kwenye Nyehunge ya Mwanza kuja Morogoro mjini duuhh mbaya sana imehusisha fuso moja hivi nayo tairi za mbele zote zimechomoka ndio chanzo cha ajali hii.
=====
Mkurugenzi wa Tarime Mjini amepata Ajali mbaya sana maeneo ya Manyoni, Dereva na Afisa Maendeleo ya Jamii wamefariki papo hapo, Mkurugenzi na Afisa Mipango wapo Hospitali kwa matibabu.