GE2025 Mkurugenzi wa Mbarali, Steven Katemba azuiwa kuchomekea maneno ya Kisiasa msibani kwa Padre Vitalis Bamuhiga

GE2025 Mkurugenzi wa Mbarali, Steven Katemba azuiwa kuchomekea maneno ya Kisiasa msibani kwa Padre Vitalis Bamuhiga

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Steven Katemba, alipewa heshima ya kutoa salamu za rambirambi wakati wa ibada ya mazishi ya Padre Vitalis Bamuhiga wa Jimbo Katoliki la Kayanga.

Hata hivyo, baada ya kutoa salamu, alijaribu kuzungumzia masuala ya kisiasa, kinyume na msimamo wa Kanisa Katoliki ambalo linakataza siasa kuingizwa madhabahuni. Kitendo hicho kilipingwa na viongozi wa ibada, na alionywa hadharani.

"Mhe. Baba Askofu, tunatambua nimesimama hapa nikiamini watu wote wakijua kwamba mimi ni Kiongozi wa Kisiasa, kwamba mwaka 2012 mpaka 2017 nimekuwa Kiongozi wa Chama Cha Mapinduzi kama Mjumbe wa kamati Kuu CCM Taifa, kwahiyo mbali na Utumishi wangu mwingine sehemu mbalimbali, Ofisi ya Rais na Ukurugenzi sehemu mbalimbali natambua hilo, kwahiyo sitasita kidogo kuongelea hilo na kuhusisha maisha na ya kiongozi wetu Bamuhiga pamoja na matukio yatakayotokea mwaka huu wa Uchaguzi"

Katemba alionekana kupuuzia onyo hilo, hali iliyopelekea kutakiwa kumaliza na kuondoka mara moja. Tukio hilo lilimsababishia aibu mbele ya waombolezaji na viongozi wa Kanisa.

Kanisa Katoliki lina msimamo thabiti kuhusu kutotumika kwa madhabahu kama jukwaa la kisiasa. Uongozi wa Kanisa umeendelea kusisitiza kuwa mtu anapopewa fursa ya kutoa salamu madhabahuni, anapaswa kuitumia kwa heshima na kwa mujibu wa taratibu za ibada.

 
Mkurugenzi wa Halamshauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Stephen Katemba ameshindwa kuzungumzia matukio yanayoendelea nchini kuelekea uchaguzi mkuu, akiwa katika Misa takatifu ya mazishi ya padre vitalis b. Bamuhiga - bugene karagwe



View attachment 3419052
CCM wamejaa matahira wengi sana, huyo DED ilipaswa atandikwe vibao hapo hapo. Ni mpumbavu sana. Alishakatazwa bado hakusikia, akaonywa tena hapo hapo jukwaani lakini hakusikia.

PENDEKEZO.
Siku nyingine akiibuka mtu wa namna hiyo, kwanza mic zizimwe, na zisiwashwe mpaka aondoke zake.
 
Mkurugenzi wa Halamshauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Stephen Katemba ameshindwa kuzungumzia matukio yanayoendelea nchini kuelekea uchaguzi mkuu, akiwa katika Misa takatifu ya mazishi ya padre vitalis b. Bamuhiga - bugene karagwe



View attachment 3419052
ninachojua, kwa wakatoliki, angekaidi hapo asingekuja kulishwa sacrament popote atakapokuwepo nchini.
 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Steven Katemba, alipewa heshima ya kutoa salamu za rambirambi wakati wa ibada ya mazishi ya Padre Vitalis Bamuhiga wa Jimbo Katoliki la Kayanga.

Hata hivyo, baada ya kutoa salamu, alijaribu kuzungumzia masuala ya kisiasa, kinyume na msimamo wa Kanisa Katoliki ambalo linakataza siasa kuingizwa madhabahuni. Kitendo hicho kilipingwa na viongozi wa ibada, na alionywa hadharani.

Katemba alionekana kupuuzia onyo hilo, hali iliyopelekea kutakiwa kumaliza na kuondoka mara moja. Tukio hilo lilimsababishia aibu mbele ya waombolezaji na viongozi wa Kanisa.

Kanisa Katoliki lina msimamo thabiti kuhusu kutotumika kwa madhabahu kama jukwaa la kisiasa. Uongozi wa Kanisa umeendelea kusisitiza kuwa mtu anapopewa fursa ya kutoa salamu madhabahuni, anapaswa kuitumia kwa heshima na kwa mujibu wa taratibu za ibada.

 
Kawaida tu hiyo kwa wanasiasa, ccm itashinda chini ya mwenyekiti mama Samia hata kama hao wanafiki rc hawamtaki. Nchi ya wote hii, waditupelekeshe wanavyotaka wao na michuki yao ya kidini.
 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Steven Katemba, alipewa heshima ya kutoa salamu za rambirambi wakati wa ibada ya mazishi ya Padre Vitalis Bamuhiga wa Jimbo Katoliki la Kayanga.

Hata hivyo, baada ya kutoa salamu, alijaribu kuzungumzia masuala ya kisiasa, kinyume na msimamo wa Kanisa Katoliki ambalo linakataza siasa kuingizwa madhabahuni. Kitendo hicho kilipingwa na viongozi wa ibada, na alionywa hadharani.

"Mhe. Baba Askofu, tunatambua nimesimama hapa nikiamini watu wote wakijua kwamba mimi ni Kiongozi wa Kisiasa, kwamba mwaka 2012 mpaka 2017 nimekuwa Kiongozi wa Chama Cha Mapinduzi kama Mjumbe wa kamati Kuu CCM Taifa, kwahiyo mbali na Utumishi wangu mwingine sehemu mbalimbali, Ofisi ya Rais na Ukurugenzi sehemu mbalimbali natambua hilo, kwahiyo sitasita kidogo kuongelea hilo na kuhusisha maisha na ya kiongozi wetu Bamuhiga pamoja na matukio yatakayotokea mwaka huu wa Uchaguzi"

Katemba alionekana kupuuzia onyo hilo, hali iliyopelekea kutakiwa kumaliza na kuondoka mara moja. Tukio hilo lilimsababishia aibu mbele ya waombolezaji na viongozi wa Kanisa.

Kanisa Katoliki lina msimamo thabiti kuhusu kutotumika kwa madhabahu kama jukwaa la kisiasa. Uongozi wa Kanisa umeendelea kusisitiza kuwa mtu anapopewa fursa ya kutoa salamu madhabahuni, anapaswa kuitumia kwa heshima na kwa mujibu wa taratibu za ibada.

Mpumbavu huyu
 
Back
Top Bottom