Mkurugenzi wa Golden Shark Mining Ltd kizimbani kwa kutapeli na kutakatisha zaidi ya tsh bilioni 4

warukie mali zake mapema kabla hajazisambaratisha. hatufaidiki kuwafunga tu hawa, tuwafilisi pia.
 
heeee
kulikoni tena na huu mfululizo wa hizi kesi za kutakatisha maana wiki ya pili mfululizo tunazisikia
ila pongezi nusu kwa taasisi husika maana nadhani tunao watakatishaji wengi kwenye mfumo ila hawagusi
hivi ANDREW CHENGE hana kesi ya kutakatisha kweli
[HASHTAG]#HappyBirthdayToMe[/HASHTAG]

Huyo hatakatishi ila anazifua alafu anazichafua tena.. Kwahiyo ni ngumu kumtia korokoroni..



Ukimaindi natuma tena.
 
Leo Ni Saba Saba Lakini Kisutu Watu Wapo Kazini Awamu Ya 5 Hapa Ni Kazi Tu
 
Na zile nyeusi ambazo huwa ni dollar tupu?
Naonaga wanaosha na kuzimiminia dawa na wanazipiga pasi
Nazo huwaje
 
Chenge..Zungu..Tibaijuka..Muhongo..n.k iwapo watu hao hawatapelekwa kwa Pilato kwa kosa la kutakatisha fedha basi ni upuuzi tu unaoendelea
 
Wewe kampuni yenyewe tu inaitwa "Golden Shark", if that doesn't give you a clue, what will?
 
Kushitaki ni rahisi sana, lakini kuwatia hatiani ni ngamia kupita tundu la Sindano. Je Serikali ipo vizuri na waendesha mashitaka kiasi cha kuwawezesha kuendesha kesi hizo kwa ufanisi. Isiwe kama PCCB, ipo vizuri kutoa takwimu za kesi walizofungua, lakini si takwimu za kesi walizoshinda.

Mfano kuachiwa kwa Kasusura ulikuwa ni uzembe wa waendesha mashitaka, hata kesi ya samaki wa Pombe ilikuwa ni uzembe tu, ushahidi ulikuwa vizuri ila kwa uzembe wakakosea taratibu. Kesi zote hizo wanaachiwa kwa technicality tu!!
Kamuulize Mramba,Yona,Ndama mutoto ya Ng'ombe watakupa habari
 
heeee
kulikoni tena na huu mfululizo wa hizi kesi za kutakatisha maana wiki ya pili mfululizo tunazisikia
ila pongezi nusu kwa taasisi husika maana nadhani tunao watakatishaji wengi kwenye mfumo ila hawagusi
hivi ANDREW CHENGE hana kesi ya kutakatisha kweli
[HASHTAG]#HappyBirthdayToMe[/HASHTAG]
Asente hilo nalo neno
 
Una uhakika naye ni mtakatishaji?
Hawa siku zao zipo karibu nadahani ndio hao mkulu aliwasema kuwa wamebadili majina kwa kukwepa kulipa kodi na baado mchezo wao wa kukwepa kodi wanaundeleza hata baada ya kubadili majina
 
100b ni pesa ya ugòro by rugemarila 2014

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom