Aitishe press.Mkurugenzi wa shirika la maendeleo ya petroli Tanzania amesema Tanzania haina uhaba wa mafuta nchi ikiwa ni tofauti na kauli iliyonukuliwa na gazeti la Nipashe wakati akiongea na wanahabari. Mapema January Makamba alikanusha Tanzania kuwa na uhaba wa mafu na kumtaka mkurugenzi huyo kwenda kujieleza ofisini.
Pia, soma=> Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka mkurugenzi TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua
=> TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15
View attachment 2007844
UGUMU WA AJIRA KUNA WATU WAMEJIPELEKA KWENYE UANDISHI BILA WITO....WANAVURUGA , WANASHINDWA KU ANALYSE NA KURIPOTIMkurugenzi wa shirika la maendeleo ya petroli Tanzania amesema Tanzania haina uhaba wa mafuta nchi ikiwa ni tofauti na kauli iliyonukuliwa na gazeti la Nipashe wakati akiongea na wanahabari. Mapema January Makamba alikanusha Tanzania kuwa na uhaba wa mafu na kumtaka mkurugenzi huyo kwenda kujieleza ofisini.
Pia, soma=> Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka mkurugenzi TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua
=> TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15
View attachment 2007844
wafuasi wa Chadema kama kawaida yao na tabia zao za kigaidi za kutaka nchi iwe ktk taharuki na shida,Mkurugenzi wa shirika la maendeleo ya petroli Tanzania amesema Tanzania haina uhaba wa mafuta nchi ikiwa ni tofauti na kauli iliyonukuliwa na gazeti la Nipashe wakati akiongea na wanahabari. Mapema January Makamba alikanusha Tanzania kuwa na uhaba wa mafuta na kumtaka mkurugenzi huyo kwenda kujieleza ofisini.
Pia, soma=> Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka mkurugenzi TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua
=> TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15
Mataragio alisisitiza kuwa Tanzania ina akiba ya kutosha ya mafuta.
"Ningependa kutoa ufafanuzi kuhusu habari ambayo imeandikwa leo na gazeti la Nipashe, ambayo inasema kwamba nchi hii ina mafuta ya kutosha kwa siku kumi na tano(15). Hiyo siyo kweli kabisa, nchi yetu ina mafuta mengi ya kutosha."
"Kitu ambacho nimeongea jana niliongelea uwezo wa nchi katika kuhifadhi mafuta, na nikasema kwamba mipango ya nchi kupitia TPDC tuongeze uwezo wetu wa kuhifadhi mafuta kwenda miezi mitatu(3) mpaka miezi sita(6)."
"Kwa hiyo nipende kuchukua nafasi hii kuwahabarisha wananchi wote kwamba hakuna haja ya taharuki, mafuta tunayo ya kutosha, na tuna uwezo wa kuwahudumia bila shida, kwa hiyo haina haja ya kupanic kwamba mafuta hayatoshi au kuna upungufu wa mafuta."
Na uhakika ndio alimaanisha hivyo ila unaita press ili iweje? kwani lazima kuongea na press wakati hakukuwa na umuhimu wowote. TPDC ni marehemu siku nyingi mlishindwa kuendesha shirika wakati mlikuwa hamna mshindani ndio mtaweza leo. Mkurugenzi tulia ofisini kwenye AC kula mshahara basi acha kuingilia mambo ya kuita press kushinda tender moja tu na mwembwe za press mbona wale washindi wengine wanachukuwa chao kimyaa. Sasa wamekuweka kwenye corner na uhakika unajuta hata kwanini uliita press.Basi alinukuliwa vibaya; hii inchi inaendeshwa kwa uongo na unafiki kwa asilimia 80. Ndo maana haiendelei