Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,215
Nimesikitika sana maana Mafuru is hard worker and strict na wafanyakazi wa ngazi za juu hawakumpenda maana zile mwanya za mapanga aliziziba sana hivyo wanaweza kufanya kitu kumtega ili aonekane hafai. The next person will be Mchechu wa NHC maana kuna mabosi pale hawataki kumsikia sana. So be careful Mchechuu wahindi mjini wapo tayari kufanya kila mbinu uondoke NHC. I think you know what I mean!!!
Mafuru ninakuombea sana, Mungu akutangulie uonekane innocent na endelee na kazi yako hata kama si hapo ili tu matokeo yasichafue reputation yako nzuri.
Board ya NBC imeona kuna jambo linalohitaji kuchunguzwa. Na ili uchunguzi usiingiliwe, huyu bwana "ameombwa" aende likizo. Wewe unathibitisha hapa kwamba huyu bwana hahusiki kwa kuwa ni "hardworker na strict". Na unadhani kama kuna chochote, basi ni "set up". Na unamuomba Mungu ili huyu bwana aonekane innocent (hapa ni kama unaruhusu uwezekano wa huyu bosi kuwa na hatia, hivyo unamuomba Mungu aonekane safi). Siamini kama Mungu atabadili fact; either ana kosa au hana. Period. Mungu hahusiki.
Kwa kuwa unaamini dhahiri kwamba huyu bosi ameonewa, ina maana unazifahamu vizuri tuhuma zinazomkabili huyu (na pengine utakuwa ni member wa board NBC). Ninaomba utufahamishe tuhuma hizo, kama hutajali.