Mkurugenzi mtendaji wa NBC Lawrence Mafuru asimamishwa kazi

Lawrence Mafuru ni mmoja ya vijana wenye uwezo mkubwa wa kiuongozi lakini kubwa zaidi ni mwaminifu sana,nafahamu na natambua kwamba kutakuwa na mchezo mchafu unafanywa dhidi yake lakini naaamini Mungu atakuwa upande wake na atarejea akiwa stronger zaidi na kusaidia kufanya kile ambacho waswahili wengi hawawezi ku-run benki kubwa ya saizi ya NBC.

Kitendo cha ABSA kukubali inadhihirisha wewe ni mtu wa kiwango gani na ninaamini you will get through this.
Nakuombea ushinde mtihani huu.

power is corrupt, absolutely corrupt! kwa hiyo usishangae Mafuru kukutwa na makshfa, hata angekuwa kichwa kuliko vijana wote, system inakutengeneza, na ukishakuwa na madaraka unakuwa kitu kingine
 
Eti unasemaje!!?????? Hapo kwenye wekundu,Huyo jamaa kumuweka kwenye hilo kundi umemdhihaki. Ni sawa umemlinganisha Prof. Shaba na Albert Einstein. Au Mwigulu Nchemba na Baba wa Taifa,labda utanielewa vizuri hapo.

May be,ninachojua tuna mitizamo tofauti.
 
May be,ninachojua tuna mitizamo tofauti.
Na wewe mtazamo wako ni upi mkuu? Mimi mtazamo wangu nafikiri Huyo jamaa hastahili kuwepo kwenye Hilo kundi Kama ulivyomuweka. Huwezi kumfananisha MD wa NHC na Bw. Kipanya. Sijui unatumia vigezo gani!?
 
Intergrity ya Dr Kimei ni kubwa sana

Hata Mgonja nae walikuwa wanasema ana intergrity pale BOT na Treasury, lakini tumekuja jua kua hana hadhi hiyo na ndio maana aliswekwa lupango!!! Kimei arobaini yake bado ndio maana bado anapeta!! Mwizi mzoefu Idris Rashid ameamua kujificha kwenye UISLAM na kuongoza benki ya kiislam!!
 
huyu jamaa nasikia amesimamishwa na bosi wa barclays africa ambae alikuwa hapa jana na juzi, kuna issue za kuwapa washikaji zake vyeo na kuwalipa bonasi kubwa sana (hundreds of millions noma) wakati banki inafanya viabaya sana, tokea ameshika madaraka benki haija improve hata kidogo...

kuna issue za kuwapa mademu zake u branch manager na mishahara ya ajabu wakati branch managers wengine hawapewi hiyo mishahara

halafu kuna swala tete la uniform za wafanyakazi wa NBC, mke wake ndio supplier - utata mtupu

kwa kweli huyu jamaa ame behave kama wale ma ceo wazee wa zamani, amearibu jina sana kwa ma ceo wa TZ... its a shame

Ndugu yangu upo karibu sana na ukweli..... kwa kujazia tu huyo ndugu "kichwa" ana kashfa ya rushwa
 
Na wewe mtazamo wako ni upi mkuu? Mimi mtazamo wangu nafikiri Huyo jamaa hastahili kuwepo kwenye Hilo kundi Kama ulivyomuweka. Huwezi kumfananisha MD wa NHC na Bw. Kipanya. Sijui unatumia vigezo gani!?


Masood Kipanya anaweza kufananishwa si tu na huyo MD wa NHC bali na hao wengine wote kwani kama walivyo hao wengine na yeye pia ni star katika fani zake za kuelimisha jamii kupitia cartoons zake na fashion designs; na ni kwa misingi hiyo anafananishwa na hao wengine ; moreover hawa wengine wameajiliwa lakini Kipanya ni mjasiriamali anaejiajili!!!
 
Na wewe mtazamo wako ni upi mkuu? Mimi mtazamo wangu nafikiri Huyo jamaa hastahili kuwepo kwenye Hilo kundi Kama ulivyomuweka. Huwezi kumfananisha MD wa NHC na Bw. Kipanya. Sijui unatumia vigezo gani!?

Mkuu Borat69,najaribu kuangalia formal and informal sector.ma-MDs na CEOs niliowataja wapo formal sector,na kipanya ni mmoja kati ya wale waliotokelezea thru informal sector by going thru thick and thin Mkuu.Ukifuatilia kwa karibu utaona kwamba amewa-influence vijana wengi kama role model wao kufanya yale wanayofanya sasa hv kama hao wa informal sector niliowataja.
 
Masood Kipanya anaweza kufananishwa si tu na huyo MD wa NHC bali na hao wengine wote kwani kama walivyo hao wengine na yeye pia ni star katika fani zake za kuelimisha jamii kupitia cartoons zake na fashion designs; na ni kwa misingi hiyo anafananishwa na hao wengine ; moreover hawa wengine wameajiliwa lakini Kipanya ni mjasiriamali anaejiajili!!!

Mkuu, we sail in the same boat!
 
Lakini nakumbuka Mh.Rais wakati anataja mabadiliko ya baraza lake jipya la mawaziri hili la mwisho alisema kuwa "kama kuwajibika kulikopelekewa na mawaziri hao kumesababishwa na watu fulani au shirika fulani basi nao lazima watawajibishwa"
Sasa yawezekana fagio hili linahusika na utekelezwaji wa ile ahadi!!

54% ya NBC inamilikiwa na ABBSA/Barclays, maneno ya rais hayana effect kwenye decisions making ya NBC, pole hujui usemalo!!
 
Nimesikitishwa sana na jamaa kusimamishwa kazi.

Mungu mkubwa, kama kafanya madudu sawa apumzike kwa amani nyumbani kama hakufanya basi namuombea arudi kazini.

Ila NBC ni benki ya hovyo kuliko zote za zamani zilizokuwa nayo. hata benki ya posta ipo pouwa kuliko NBC. Alikua na kazi kubwa sana maana alirithi wazembe na wazee sana.

Inmshallah
 
Mkuu Borat69,najaribu kuangalia formal and informal sector.ma-MDs na CEOs niliowataja wapo formal sector,na kipanya ni mmoja kati ya wale waliotokelezea thru informal sector by going thru thick and thin Mkuu.Ukifuatilia kwa karibu utaona kwamba amewa-influence vijana wengi kama role model wao kufanya yale wanayofanya sasa hv kama hao wa informal sector niliowataja.
Kuna kitu kimoja tunatofautiana mimi na wewe katika kumuweka kipanya kwenye category ile uliyoiweka. Sababu kubwa pia niliyopinga hiyo comparison it's the level of intellect. Baadhi ya hao Young MDs na CEOs ukipata nafasi ya kukutana nao kwa some chit chat (not intellectual convos) utanielewa namaniisha nini. I've met Kipanya several times,he's a good guy and cartoonist but the level of Intellect to me is shallow. Na kuzungumzia kwamba he's a successful designer is just another one of those "Nonsense" arguments.

Kipanya kuwa role model it depends on what platform are you willing to put him in. To me he's a good satire cartoonist just like any other. He can not make any huge impact in our society based on his decisions or cartoons compared to Nehemiah Msechu (NHC's MD) and the likes.

Anyway inawezekana mimi na wewe tuko sawa katika mitazamo yetu tofauti. Hatuwezi kukubaliana wakati wote,hizi ni njia za kujifunza na kuelimishana bila kutoka mapovu.
Pamoja
 
Kwa muda huu, hakuna haja ya kulia wala kutumia nguvu sana kutetea wala kuhukumu. Kiongozi aambiwapo sogea kando na Bodi yake kupisha uchunguzi (huru) wa tuhuma ni jambo la kawaida sana katika uongozi bora wa taasisi / asasi. Zoezi kama hili lina faida kwake (wachache hawaioni) na pia kwa Shirika na Taifa kwa ujumla.

Hata Mkurugenzi Mhando wa TANESCO anapaswa kuiga mfano wa kupokea jambo hili positively kama huyu wa NBC alivyofanya. Aache Wizara isafishe na kuboresha huduma za umeme. Nami hata naunga mkono Bodi yake na zile za mazao kama Pamba zivunjwe ziundwe upya.

Bottom line
:
Huduma za mashirika yetu mengi nchini (e.g.TANESCO, NBC, NMB (ni zaidi sana n.k) kwa Wateja wake ni mbaya sana. Mfano:- Hivi kwa nini nifoleni Benki kwa saa moja au hata mbili (hadi eti wale security guards wa NBC/NMB wanatumika kupenyeza karatasi za wateja ‘maarufu' kwa kupewa tips) kusubiri kupewa fedha zangu mwenyewe nilizoziweka na wao wanapata faida kutokana na mimi ku depost fedha zangu? Hivi ni kwa nini umeme uzime na kuwashwa ghafla hata mara tatu au nne ndani ya siku moja bila taarifa mapema ya sababu ya kukata huo umeme bila hata kuomba radhi kwangu mteja? Tusitetee ubovu pindi hatua zinazokubalika zinapochukuliwa. Kwa wenzetu hata mtu hasubiri kuambia akae pembeni, penye tuhuma, yeye mwenyewe anapisha na tena unaweza kuta ni Managing Director wa Benki kubwa sana yenye subsidiaries and total assets nyingi dunia k.m Deutsche Bank, Germany, Industrial & Commercial Bank of China, China, Barclays Bank, UK n.k na ukichungulia CV zao zimesheheni na haijalishi walimaliza vyuo na flying colours au la!
 
Kuna kitu kimoja tunatofautiana mimi na wewe katika kumuweka kipanya kwenye category ile uliyoiweka. Sababu kubwa pia niliyopinga hiyo comparison it's the level of intellect. Baadhi ya hao Young MDs na CEOs ukipata nafasi ya kukutana nao kwa some chit chat (not intellectual convos) utanielewa namaniisha nini. I've met Kipanya several times,he's a good guy and cartoonist but the level of Intellect to me is shallow. Na kuzungumzia kwamba he's a successful designer is just another one of those "Nonsense" arguments.

Kipanya kuwa role model it depends on what platform are you willing to put him in. To me he's a good satire cartoonist just like any other. He can not make any huge impact in our society based on his decisions or cartoons compared to Nehemiah Msechu (NHC's MD) and the likes.

Anyway inawezekana mimi na wewe tuko sawa katika mitazamo yetu tofauti. Hatuwezi kukubaliana wakati wote,hizi ni njia za kujifunza na kuelimishana bila kutoka mapovu.
Pamoja

Borat69,

..inawezekana unasema hivyo kwasababu ya kuto-appreciate masuala ya SANAA/ARTS.

..katika nchi hii unaweza kupata/ku-produce wakina Mafuru,Mchechu,etc etc, wengi tu kupitia mfumo wa elimu.

..kwa upande mwingine watu wenye kipaji cha Masoud Kipanya hutokea kwa nadra.

..my argument is, Mafuru and Mchechu can be replaced any time, lakini Kipanya and Mwampembwa brothers are harder to replace.
 
Wakati Mafuru anatoka SCB (Stanchart) alifikia kuwa Head wa Treasury, akawasaidia jamaa zake kina Massawe (HR), Kaduma (Corporate Banking) na wengineo kutoka SCB kuingia NBC.

Baada ya kuwa MD akaanza kutofautiana na baadhi ya Heads wa department ambao wengine ndio hao hao kina Massawe, Massawe aliondoka mapema akaenda kufanya kazi zake, Kaduma ni MD wa CBA sasa (Kaduma is one of the best guys), kuna jamaa aliyekuwa Head wa Risk by that time naye hawakuiva.

Kuhusu kuwapa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ni kweli kabisa, na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake.

Kwa kifupi Mafuru alijisahau baada ya kuwa MD na alifikiri Chama (CCM) kitampa cover, kuna watu wake wa chama mikopo ilikuwa haipingwi, mingine inapita kwa guarantee za chama.

The final big mess ni alipomwajiri dada mmoja kuja kuwa Head wa Legal, na kuinstruct kwamba Kibodya aliport kwa huyu dada. It took Kibodya less than a week to resign and guess what!!! They are now on his neck, na I am very sure hatoki na kuna mpango wa kumfilisi.

Kibodya is untouchable, Law Firms zote za hapa mjini unazozifahamu anashirikiana nazo na amezipa biashara kubwa kubwa tu.

Mafuru is going down, down and down.

On performance note: Head of Finance was forced to resign last year together with Head of Retail Credit due to discovered big loss especially due to discovered huge loan impairments which was formerly hidden (window dressed), if you have noticed the fallout in reported profit FY 2011 as compared to 2 years back.
 
jamaa awe kichwa au kipanga kama kuna madai mbele yake amesimamishwa kupisha uchunguzi, nafikiri hiyo ndiyo njia sahihi.. Naamini ripoti itatoka na kutaisikilizia vilevile..
 
kwa controls za benki zilivo, mkurugenzi kuiba ni ngumu sana, kwanza yeye hayupo kwenye daily operations....labda inawezekana akawa amebariki hela chafu ipite chini ya uongozi wake apo ndo kunaweza kukawa na tatizo ,,yani kama vigogo wamefanya money loundering chini ya utawala wake,na mwisho wa siku watakuta walio chini yake , yani kwenye operations ndo watawekwa matatizoni wala si yeye....Kwa money loundering huwa wakati mwingine wanashindwa kuzibiti kwani huenda zinasukumwa na viongozi waandamizi serikalini,yani CEO anakutana na majibu mawili tu ACCEPT or SUFFER ndo hapo utasikia BOT imepigwa kuptita nbc au CRDB , EXIM AU barclays...ila foreign banks huwa ni vigumu kupitisha ela chafu kwa kuwa na udhibiti nje ya nchi,ila local banks inakuwa easy sababu ya kukosa udhubutu wa kuwakatalia wakubwa!!!! kama ni humo humo tusubiri tuone uyo whistleblower amewekaje allegations!!!!
 
Nimesikitishwa sana na jamaa kusimamishwa kazi.

Mungu mkubwa, kama kafanya madudu sawa apumzike kwa amani nyumbani kama hakufanya basi namuombea arudi kazini.

Ila NBC ni benki ya hovyo kuliko zote za zamani zilizokuwa nayo. hata benki ya posta ipo pouwa kuliko NBC. Alikua na kazi kubwa sana maana alirithi wazembe na wazee sana.

Inmshallah


Mkuu hapo kwenye red ulikusudia kusema nini? Inna lillahi au InshaAllah?
 
Back
Top Bottom