Mkurugenzi mtendaji wa NBC Lawrence Mafuru asimamishwa kazi

Naona mwaka huu kuna mambo, kwanza Baraza la Mawaziri likafanyiwa marekebisho, na mawaziri kadhaa wakabwagwa, halafu akafuata Ekelege wa TBC, halafu Chizi wa ATCL katimuliwa, halafu Mhando wa Tanesco kaondolewa, na sasa Mafuru. Who is next before Christmas??? One, Two, Three, Four, ...... down, more to go!!!
 
Huyu Mafuru ni yule aliyekuwa department ya Finance miaka ya 90 CRDB??
Na Nyumba yake kule Sinza kajenga juu ya Bomba!
Maana kama ni huyo, sidhani kama wanamuonea, ni mtu wa madili mazito tangu enzi hizo.
 
Ni ujinga mkubwa kufikiri kufukuza na kusimamisha watumishi hasa hawa wadogo kutasaidia.serikali inapswa kujitazama mwanzo mwisho na kuchkua hatua stahiki kwa wakati na si kusubiri mambo yaende hovyo.
 
Mdudu gani ananyemelea mashirika haya! Juzi juzi Tanesco sasa NBC, WHO NEXT? CRDB? mhhhhhhhh

CRDB tunangojea kwanza Mkw..ere atoke madarakani na jamaa astaafu halafu tutamuuliza where did he get the guts za kufanikisha deal za EPA kupitia benki anayoiongoza. Ktk hili Dr Kimei lazima ajibu tu, htabaki salama labda ahame hii nchi kwa kuchuku uraia wa nchi nyingine au atumie style aliyoitumia Dr Balali. Kamwe hawezi kubaki salama labda afe kabla ya wakati na ni kifo tu kitakachomuepusha na hii dhahma inayomngojea!
 
Naona mwaka huu kuna mambo, kwanza Baraza la Mawaziri likafanyiwa marekebisho, na mawaziri kadhaa wakabwagwa, halafu akafuata Ekelege wa TBC, halafu Chizi wa ATCL katimuliwa, halafu Mhando wa Tanesco kaondolewa, na sasa Mafuru. Who is next before Christmas??? One, Two, Three, Four, ...... down, more to go!!!

red and bolded: mbona hesabu zako za mbali sana! Kabla ya x-mas, idd iko karibu zaidi!
 
Borat69,

..inawezekana unasema hivyo kwasababu ya kuto-appreciate masuala ya SANAA/ARTS.

..katika nchi hii unaweza kupata/ku-produce wakina Mafuru,Mchechu,etc etc, wengi tu kupitia mfumo wa elimu.

..kwa upande mwingine watu wenye kipaji cha Masoud Kipanya hutokea kwa nadra.

..my argument is, Mafuru and Mchechu can be replaced any time, lakini Kipanya and Mwampembwa brothers are harder to replace.
inawezekana kabisa mkuu. Kwa sababu most of us Tanzanians tunakuwa katika malezi ya kwamba elimu ndio kila kitu,na vitu Kama Sanaa (Arts) huwa vinachukuliwa Kama hobbies katika jamii na sio kipaji au kitu muhimu.
Nilipokuwa Primary pale Muhimbili nilikuwa napenda sana kuchora,lakini Wazazi wangu walikuwa wanapinga sana. So you can imagine hiyo hali inavyoweza kumfanya kijana au mTanzania wa kawaida kutoona umuhimu kwenye masuala ya Sanaa(Arts) hapa nyumbani.

Dont get me wrong I ain't got nothing against the Kipanya dude. I think he's brilliant but on a different platform.
Different strokes for different folks I suppose.
Pamoja.
 
Nimesikitishwa sana na jamaa kusimamishwa kazi.

Mungu mkubwa, kama kafanya madudu sawa apumzike kwa amani nyumbani kama hakufanya basi namuombea arudi kazini.

Ila NBC ni benki ya hovyo kuliko zote za zamani zilizokuwa nayo. hata benki ya posta ipo pouwa kuliko NBC. Alikua na kazi kubwa sana maana alirithi wazembe na wazee sana.

Inmshallah

Nadhani sio sahihi kutamka uzee kama sifa mbaya. Uzee wa mtu haumaanishi loss of integrity. Kufanya hivi ni unyanyapaa kama unyanyapaa mwingine.
 
Eti unasemaje!!?????? Hapo kwenye wekundu,Huyo jamaa kumuweka kwenye hilo kundi umemdhihaki. Ni sawa umemlinganisha Prof. Shaba na Albert Einstein. Au Mwigulu Nchemba na Baba wa Taifa,labda utanielewa vizuri hapo.
Ahhh jamii forum kweli ni home of great thinker
 
CRDB tunangojea kwanza Mkw..ere atoke madarakani na jamaa astaafu halafu tutamuuliza where did he get the guts za kufanikisha deal za EPA kupitia benki anayoiongoza. Ktk hili Dr Kimei lazima ajibu tu, htabaki salama labda ahame hii nchi kwa kuchuku uraia wa nchi nyingine au atumie style aliyoitumia Dr Balali. Kamwe hawezi kubaki salama labda afe kabla ya wakati na ni kifo tu kitakachomuepusha na hii dhahma inayomngojea!

LA CRDB mkuu litatikisa nchi wewe subiri!!!!
 
inawezekana kabisa mkuu. Kwa sababu most of us Tanzanians tunakuwa katika malezi ya kwamba elimu ndio kila kitu,na vitu Kama Sanaa (Arts) huwa vinachukuliwa Kama hobbies katika jamii na sio kipaji au kitu muhimu.
Nilipokuwa Primary pale Muhimbili nilikuwa napenda sana kuchora,lakini Wazazi wangu walikuwa wanapinga sana. So you can imagine hiyo hali inavyoweza kumfanya kijana au mTanzania wa kawaida kutoona umuhimu kwenye masuala ya Sanaa(Arts) hapa nyumbani.

Dont get me wrong I ain't got nothing against the Kipanya dude. I think he's brilliant but on a different platform.
Different strokes for different folks I suppose.
Pamoja.

Borat69,

..thanx..nimekuelewa.

..ulichosema kuhusu wazazi kupuuza masuala ya sanaa ni kweli kabisa.

..lakini nadhani as our society opens up we will learn to appreciate arts, na kuvikuza vipaji vya arts.
 
Last edited by a moderator:
Usifurahi ehh adui yangu< niangapo mimi nitasimama tena.
Kuombeana ni muhimu, leo Mafuru, kesho mimi, keshokutwa wewe

Shemeji upo? jana nilikuwa kule mahala pa siku ile, unapakumbuka? karibu tena sie twaendelea kulundumula mambo, aisee!
 
Nadhani sio sahihi kutamka uzee kama sifa mbaya. Uzee wa mtu haumaanishi loss of integrity. Kufanya hivi ni unyanyapaa kama unyanyapaa mwingine.

Yeye anazidi kuwa kijana as times goes by:smile-big:
 
Dr kimei, mbona crdb performance yake ni nzuri tu. Hela za epa zote zina barua zake, yeye ni banker na hela zote epa zinatoka kwenye taasis inayo regulate benki. Yeye anatakiwa kuuliza kama hizo hela kweli wanaolipwa wanastaili, kama taasisi inayolipa imemuakikisha hivyo yeye anazipokea. Hakuna benki kubwa duniani isiyokuwa na hela chafu. Unaweza ukamshutumu kimei kwa kupokea hela lakini alikuwa hawezi kuzikataa
 
Bro umeamliza nadhani ur an Insider of Inside edition...
huyu jamaa nasikia amesimamishwa na bosi wa barclays africa ambae alikuwa hapa jana na juzi, kuna issue za kuwapa washikaji zake vyeo na kuwalipa bonasi kubwa sana (hundreds of millions noma) wakati banki inafanya viabaya sana, tokea ameshika madaraka benki haija improve hata kidogo...

kuna issue za kuwapa mademu zake u branch manager na mishahara ya ajabu wakati branch managers wengine hawapewi hiyo mishahara

halafu kuna swala tete la uniform za wafanyakazi wa NBC, mke wake ndio supplier - utata mtupu

kwa kweli huyu jamaa ame behave kama wale ma ceo wazee wa zamani, amearibu jina sana kwa ma ceo wa TZ... its a shame
 
Dr kimei, mbona crdb performance yake ni nzuri tu. Hela za epa zote zina barua zake, yeye ni banker na hela zote epa zinatoka kwenye taasis inayo regulate benki. Yeye anatakiwa kuuliza kama hizo hela kweli wanaolipwa wanastaili, kama taasisi inayolipa imemuakikisha hivyo yeye anazipokea. Hakuna benki kubwa duniani isiyokuwa na hela chafu. Unaweza ukamshutumu kimei kwa kupokea hela lakini alikuwa hawezi kuzikataa

Unajua kilichomtoa mkuku CEO wa HSBC hadi ameresign? We subiri labda CCM iendelee kutawala milele !!!
 
Inawezekana kabisa maana NBC imeyumba sana jamani. Angalieni kwenye Financial statements zao za miaka hii miwili yaani balaa.

Pengine kuna ukweli kwenye hili maana kwa bank kama NBC, haiwezi kufanya kosa la kumsimamisha mtu bila kuwa na grounds.
 
Back
Top Bottom