Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Borat69,
..thanx..nimekuelewa.
..ulichosema kuhusu wazazi kupuuza masuala ya sanaa ni kweli kabisa.
..lakini nadhani as our society opens up we will learn to appreciate arts, na kuvikuza vipaji vya arts.
In short JokaKuu, sisi watanzania hatujaweka mikakati ya kuipenda na kuijenga arts. Na unajua brain inavyofanya kazi, right hand sphere ya brain ndio inafanya kazi ya mambo ya arts..and that is where leadership skills lie.